Nipo nasikiliza Hot 96 radio ya Kenya namsikia DJ Mafuvu anagonga Bongo Hip Hop za hatari ndani ya kipindi cha Mistari,
Je ndio DJ Mafuvu kala shavu kwa mzee Kenyatta!?
Nathani huyu dogo kasha sepa eatv na nafasi yake imechukuliwa na dj ommy crzy
Hata ukingia account yake ya insta sio mfanyakazi tena wa eatv sasa hatujui ataamua kwenda wapi..?
Nathani huyu dogo kasha sepa eatv na nafasi yake imechukuliwa na dj ommy crzy
Hata ukingia account yake ya insta sio mfanyakazi tena wa eatv sasa hatujui ataamua kwenda wapi..?