Hahaaa. Nimecheka sana ujue.Haha
Nigawe tu my dear, wamemkwa wapo ujue
Huwa siwaelewi ujueHahaaa. Nimecheka sana ujue.
Hahaaaa. Hawajui wanataka nini.Huwa siwaelewi ujue
Tuwaangalie tuHahaaaa. Hawajui wanataka nini.
Kabisa my dear.Tuwaangalie tu
Nilichogundua huyu @muosha rungu anakubalika sana kwa watoto wa kike, ila midume inampiga vita[emoji23], what's wrong?
[emoji23][emoji23][emoji23]Sakayo nakugawa ujue hivi wamemkwa wanajijua kweli?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wamemkwa wapo na wanapenda kujifunza kwelikweli ila ni wakorofi balaah, wakianza vichambo mbona tutaukimbia uzi wa muosha masufuria
Sasa kama wenzio wanataka kujifunza mambo ya hogo na bamia huoni ni jambo la kusikitisha sana mydear?[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ila sakayo ana maneno eti wa Memkwa lol.
Kabisaaaaa. Umenena my dear. [emoji23] [emoji23]Sasa kama wenzio wanataka kujifunza mambo ya hogo na bamia huoni ni jambo la kusikitisha sana mydear?
Yaan mie huwa wananifurahisha mno, sakayo kawaza mbali sana itabidi tumpatie tuzo ya ufikiri [emoji23][emoji23]
nchi gani hasa?Ughaibuni!
Shoga unaweza ukawa weye maana unadhan kila mtu shoga humu,tulia hakuna mtu atakupokonya baasha wako!Ni Shost wao..Swali..
Ulishaona Shoga anafungamana na wanaume?
Shoga unaweza ukawa weye maana unadhan kila mtu shoga humu,tulia hakuna mtu atakupokonya baasha wako!
Vipi! naona jina hili ulilobadili limebuma nalo! Kweli lazima uwashwe![emoji23] [emoji23]
wacha nianze kujiandaa nishachoka na li fast jet this time ni KLM aahhSubiri nikitaka kwenda tena nitakuchukua Mrembo wangu Wa ukweeree!