Daah! wanaume wa Dar katika ubora wenu, kwa namna hii panya road lazima waendelee kuwajambisha nyie.
wa kawaida sana......Wakubwa wanafaidi...
Namcheki live hapa kunako jiwe la mwezi...
Mtoto huyu ilabidi awe anafanya kazi kama benki hiviii.....
View attachment 574745
View attachment 574746
Rangi imemsaidia kwakweli