Wakubwa ilikuwa aibu kusema kweli, hata kutumia laptop kwenye song choice alishindwa akaishia kuchukua muda mwingi ku serach kwenye ile CD case huku mixing ikiwa dhaifu. Wakati huo huo huku home Nyuki DJs wanatangaza wanafunika ile mbaya huko BB all stars :becky::becky:
mechi za nyumbani tu tena wao ndo waandaji wa hizo FIESTA zao wanaburuzwaga na WAKENYA utategemea ushindi ugenini?nawakumbuka THE POWEFULL FOUR kwakweli...