D'jaro Arungu wa TBC Fm

D'jaro Arungu wa TBC Fm

ukwaju_wa_ kitambo

Senior Member
Joined
Sep 15, 2024
Posts
150
Reaction score
173
MTANGAZAJI "DJARO ARUNGU WA TBC FM .

Watangazaji wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) D’jaro Arungu @djaroarungu (Baba Mzazi) na Abdul Khalifa @seankhalifatz wameshinda Tuzo za The MVAAWARDS zilizotolewa na usiku wa kuamkia leo Septemba 15, 2024 Jijini Lagos nchini Nigeria.

Arungu ambaye ni mtangazaji wa Kipindi cha Papaso kinachorushwa na TBC Taifa ameshinda tuzo mbili katika vipengele vya Mtangzaji bora wa mwaka wa redio Barani Afrika (Best Radio Personality of The Year Africa) na Tuzo ya Muda wote ya mafanikio kwenye Redio (Best LifeTime Achievement Awards In Radio).

Kwa upande wa Tuzo ya Mtangazaji bora wa Televisheni Barani Afrika, Mtangazaji wa Kituo cha Televisheni cha TBC2 Khalifa Abdul (Sean Khalifa) @seankhalifatz ameibuka na tuzo hiyo na hivyo kuling’arisha Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) katika tuzo hizo.

UKWAJU WA KITAMBO
0767 542 202
1726454911724.jpg
1726454904897.jpg
 
MTANGAZAJI "DJARO ARUNGU WA TBC FM .

Watangazaji wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) D’jaro Arungu @djaroarungu (Baba Mzazi) na Abdul Khalifa @seankhalifatz wameshinda Tuzo za The MVAAWARDS zilizotolewa na usiku wa kuamkia leo Septemba 15, 2024 Jijini Lagos nchini Nigeria.

Arungu ambaye ni mtangazaji wa Kipindi cha Papaso kinachorushwa na TBC Taifa ameshinda tuzo mbili katika vipengele vya Mtangzaji bora wa mwaka wa redio Barani Afrika (Best Radio Personality of The Year Africa) na Tuzo ya Muda wote ya mafanikio kwenye Redio (Best LifeTime Achievement Awards In Radio).

Kwa upande wa Tuzo ya Mtangazaji bora wa Televisheni Barani Afrika, Mtangazaji wa Kituo cha Televisheni cha TBC2 Khalifa Abdul (Sean Khalifa) @seankhalifatz ameibuka na tuzo hiyo na hivyo kuling’arisha Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) katika tuzo hizo.

UKWAJU WA KITAMBO
0767 542 202
View attachment 3097015View attachment 3097016
Apunguze kujisifia.....kipindi chote ni majingle ya kujisifia tu mpaka inaboa.
 
Mi nadhani na baadhi ya station za radio waige mfano huu wa papaso.

Maswali fikirishi.
 
Back
Top Bottom