Djuma Shabani amepewa mkono wa kwaheri na klabu yake ya Namungo Fc

Djuma Shabani amepewa mkono wa kwaheri na klabu yake ya Namungo Fc

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
862
Reaction score
1,755
Djuma Shabani soka la bongo limeshamkataa! Maana tangu atoke Yanga SC amekuwa wa kuhangaika tu.

Ameenda huko Namungo kacheza mechi chache sana tena si kwa hule uzoefu wake so naona time yake imekwisha akatafute ugali sehemu nyingine tena nje ya Tanzania.
=====================

Beki wa zamani wa Young Africans Sc, Djuma Shabani raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo amepewa mkono wa kwaheri na klabu yake ya Namungo Fc aliyojiunga nayo Julai 2024 kama mchezaji huru.

Soma Pia: Djuma Shabani kutua msimbazi kama mbadala wa Kapombe

“Asante Djuma Shabani kwa kipindi chote ulichokuwa nasi Wauaji wa Kusini. Tunakutakia kila la kheri kwenye majukumu yako mapya popote utakapokuwa” wamesema Wauaji hao wa Kusini katika taarifa yao.

Snapinsta.app_472165593_2150450608707708_7754721633529615278_n_1080.jpg
 
Djuma alikuwa Moto alipokuwa vita tu na yanga alikuwa anatumia uzoefu tu

Kuna game ile kolo na as vita ilibidi bwana miqueson arudi kumsaidia shabalala maana djuma alikuwa anataka kumuua kijana.

Djuma anaweza kupiga penalty, kupiga dead ball sana tu

Kila la kheri
 
Watu walikuwa waki mcompare na Kapombe ambaye Ameanza kucheza simba 2011.

Kapombe amecheza simba zaidi ya miaka 12
 
Back
Top Bottom