Dk. Bashiru alikuwa wapi? Na hata sasa mbona hawasemei waliokuwa wanatekwa na kupigwa risasi enzi za Awamu ya Tano? Na wao mazuzu wanataka enzi irudi

Dk. Bashiru alikuwa wapi? Na hata sasa mbona hawasemei waliokuwa wanatekwa na kupigwa risasi enzi za Awamu ya Tano? Na wao mazuzu wanataka enzi irudi

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Dk. Bashiru alikuwa ndio msimamizi wa sera za serikali akiwa kama Katibu Mkuu wa CCM. Wakati wake wa uongozi, kulikuwa na matukio mengi ya wananchi kutekwa na kupigwa risasi. Hakuwahi kuwasemea watu hao mahala popote pale.

Cha ajabu, wale ambao Bashiru alisimamia sera ya kuwanyanyasa na kuwaua, ndio wanambeba kwa mbeleko, wapinzani kuchukua nchi hii ni ndoto, hawana msimamo kwa jambo lolote. Sasa hivi mapinzani yamepata hamu ya kutekwa na kupigwa risasi, yako bega kwa bega na Bashiru, na Makonda na Sabaya watayaingiza Chaka ... Yatajaaa na kuanza kuwashangilia

Na wasichojua wapinzani, Bashiru anataka kuurudisha utawala uliowashikisha Ukta na mpaka leo wanajuta
 
#neverAgain

Isijirudie tena utawala wa kuzimu
 
Dk. Bashiru alikuwa ndio msimamizi wa sera za serikali akiwa kama Katibu Mkuu wa CCM. Wakati wake wa uongozi, kulikuwa na matukio mengi ya wananchi kutekwa na kupigwa risasi. Hakuwahi kuwasemea watu hao mahala popote pale.

Cha ajabu, wale ambao Bashiru alisimamia sera ya kuwanyanyasa na kuwaua, ndio wamambeba kwa mbeleko, wapinzani kuchukua nchi hii ni ndoto, hawana msimamo kwa jambo lolote.

Na wasichojua wapinzani, Bashiru anataka kuurudisha utawala uliowashikisha.....na mpaka leo wanajuta
Na Rais wa Sasa nyakati za Magufuli alikuwa masomoni Vietnam au? Acheni kujisahaulisha na akili za vibwengo, any reference to Magufuli anzeni na msaidizi wa Magufuli, otherwise funikeni Kombe wana Ndoige tutulie, hii nchi ni yetu haina msafi haina msafi.
 
Na Rais wa Sasa nyakati za Magufuli alikuwa masomoni Vietnam au? Acheni kujisahaulisha na akili za vibwengo, any reference to Magufuli anzeni na msaidizi wa Magufuli, otherwise funikeni Kombe wana Ndoige tutulie, hii nchi ni yetu haina msafi haina msafi.
Ushasikia mama anateka na kuua kwa risasi?
 
Ushasikia mama anateka na kuua kwa risasi?
Alifanya nini kama hakuunga juhudi? Acheni ujinga funikeni Kombe tusonge mbele, tuache upumbavu wa kilofa lofa, any chapter with Magufuli Samia is inclusive hamuwezi kukimbia. Tuanzie upya maisha yaendelee.

Bila Magufuli nchi hii ingekuwa kama Nigeria, Somalia au Msumbiji ya Sasa, wale mende wa Msumbiji wangejitwalia empire.

Mkiwa na hasira na viroba uweni tiss yote na makamanda wa jeshi,

Msigusa habari za Mkuranga, Rufiji na Kibiti pumbavu kabisa, ongeeni mengine yote lakini sio habari za viroba.

Msicheze na usalama wa nchi na vyombo vya usalama fanyeni ujinga wote lakini sio kukebehi kazi za wapiganaji.
 
Alifanya nini kama hakuunga juhudi? Acheni ujinga funikeni Kombe tusonge mbele, tuache upumbavu wa kilofa lofa, any chapter with Magufuli Samia is inclusive hamuwezi kukimbia. Tuanzie upya maisha yaendelee.

Bila Magufuli nchi hii ingekuwa kama Nigeria, Somalia au Msumbiji ya Sasa, wale mende wa Msumbiji wangejitwalia empire.

Mkiwa na hasira na viroba uweni tiss yote na makamanda wa jeshi,

Msigusa habari za Mkuranga, Rufiji na Kibiti pumbavu kabisa, ongeeni mengine yote lakini sio habari za viroba.

Msicheze na usalama wa nchi na vyombo vya usalama fanyeni ujinga wote lakini sio kukebehi kazi za wapiganaji.
Unatumia kiungo gani kufikiri?
 
Mod ebu unganisheni nyuzi hii na zingine zaidi ya tano zinazomuongelea bashiru zilizopostiwa na huyu mtu.
 
Dk. Bashiru alikuwa ndio msimamizi wa sera za serikali akiwa kama Katibu Mkuu wa CCM. Wakati wake wa uongozi, kulikuwa na matukio mengi ya wananchi kutekwa na kupigwa risasi. Hakuwahi kuwasemea watu hao mahala popote pale.

Cha ajabu, wale ambao Bashiru alisimamia sera ya kuwanyanyasa na kuwaua, ndio wanambeba kwa mbeleko, wapinzani kuchukua nchi hii ni ndoto, hawana msimamo kwa jambo lolote. Sasa hivi mapinzani yamepata hamu ya kutekwa na kupigwa risasi, yako bega kwa bega na Bashiru, na Makonda na Sabaya watayaingiza Chaka ... Yatajaaa na kuanza kuwashangilia

Na wasichojua wapinzani, Bashiru anataka kuurudisha utawala uliowashikisha Ukta na mpaka leo wanajuta
Chiembe umeokoka lini? Wewe si ulikuwa mfuasi wa Mwendazao.
 
Dk. Bashiru alikuwa ndio msimamizi wa sera za serikali akiwa kama Katibu Mkuu wa CCM. Wakati wake wa uongozi, kulikuwa na matukio mengi ya wananchi kutekwa na kupigwa risasi. Hakuwahi kuwasemea watu hao mahala popote pale.

Cha ajabu, wale ambao Bashiru alisimamia sera ya kuwanyanyasa na kuwaua, ndio wanambeba kwa mbeleko, wapinzani kuchukua nchi hii ni ndoto, hawana msimamo kwa jambo lolote. Sasa hivi mapinzani yamepata hamu ya kutekwa na kupigwa risasi, yako bega kwa bega na Bashiru, na Makonda na Sabaya watayaingiza Chaka ... Yatajaaa na kuanza kuwashangilia

Na wasichojua wapinzani, Bashiru anataka kuurudisha utawala uliowashikisha Ukta na mpaka leo wanajuta

Jibu hoja zake na sio kumshambulia,

Ww ulikuwa wapi siku zote hizo kuuliza swali lako ?
 
Mmepanic!

Maneno mawili tu ya bashiru panya wote mmetoka nduki!

Hadi 2025 mtavaa kyupi hizo vichwani mavi nyie
Naona kichwani una utumbo mpana badala ya ubongo
 
CCM
Dk. Bashiru alikuwa ndio msimamizi wa sera za serikali akiwa kama Katibu Mkuu wa CCM. Wakati wake wa uongozi, kulikuwa na matukio mengi ya wananchi kutekwa na kupigwa risasi. Hakuwahi kuwasemea watu hao mahala popote pale.

Cha ajabu, wale ambao Bashiru alisimamia sera ya kuwanyanyasa na kuwaua, ndio wanambeba kwa mbeleko, wapinzani kuchukua nchi hii ni ndoto, hawana msimamo kwa jambo lolote. Sasa hivi mapinzani yamepata hamu ya kutekwa na kupigwa risasi, yako bega kwa bega na Bashiru, na Makonda na Sabaya watayaingiza Chaka ... Yatajaaa na kuanza kuwashangilia

Na wasichojua wapinzani, Bashiru anataka kuurudisha utawala uliowashikisha Ukta na mpaka leo wanajuta
 
Back
Top Bottom