Dk. Bashiru alikuwa wapi? Na hata sasa mbona hawasemei waliokuwa wanatekwa na kupigwa risasi enzi za Awamu ya Tano? Na wao mazuzu wanataka enzi irudi

Wewe mtoto si riziki
 
Kwa hiyo unakiri kuwa sera za CCM ni kuteka na kuua siyo?

nikukumbushe bwana kimbwenelehi
...Aliyekuwa second in command alikuwa ni Malkia wa Nyuki.

Sasa unachokiongea ujue unamnanga boss wako
 
Makini sana ,huyu mtoto si riziki mada za kimama mama sana anatuletea sisi walume ndago
 
Huna hoja !!Ww Ni chawa tu.
 
Wewe poteza muda tu na deep state yaniii maji utaita mma....
 
Ko mkuu unataka kusema wapinzani wasimsikilize bashiru ni muongo πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Afu mshaambiwa jibuni hoja sio mtoa hoja kwani angeongea mtu ambae hakua magu mngesemaje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…