Fred Katulanda
JF-Expert Member
- Apr 1, 2011
- 380
- 550
Anayo haki kugombea cheo chochote kwenye chama chake. Hata hivyo, hilo la umakini na kutokupoteza mvuto kwa chama chake labda anaweza kulipima kwa njia ya kukutana na wananchi kama CDM wanavyofanya through M4C. Vinginevyo asubiri kampeni zikianza Igunga ndipo ataujua ukweli.Leo taarifa nilizopokea zinadai kuwa Dk. Kigwangala ametinga katika ofisi za CCM mkoa wa Mwanza (Jumuiya ya Wazazi) na kuchukua fomu kuwania Uenyekiti wa Jumuiya hiyo Taifa, huku akidai anaamini kuwa CCM ni chama makini na kwamba bado hakijapoteza mvuto.