Dk Kimei (CRDB) kuwania tuzo ya kinara benki Afrika

Crdb-means community rural development bank-ilianza kama saccos miaka ya sabini na baadae transformnation mpaka crdb
 
Unahaki ya kukataa asipewe hiyo tuzo, lakini huwezi kupinga mafanikio yake. Hata mwenyewe inawezekana ulisha ficha maovu mkeo asiyajue. Tofauti ni aina ya uovu
 




NISeme kweli toka Moyoni kwa maoni haya sasa Watanzania wanajionesha wazi wazi kwamba wanajielewa. HIVYO, hatuwezi kumshabikia mtu aliyefanya mambo ya Hovyo ati sababu tu ni Mtanzania wa kwanza Kuingia kwenye tuzo hizo. Mtu kama hafai hata kama ni Babako au mfadhili Wako. Huyo Dr. amesaidia sana kufanikisha UFISADI kwa KUTUMIA elimu yake badala ya Kujenga heshima yake na ya watanzania. Vile vile anaonekana anapenda sana kujipendekeza ili apate cheo au tuzo, bahati nzuri sana umeutafuta sana UGAVANA wa BOT bila mafanikio
 

commercial rural development bank
 
Tatizo watu tunachanganya tuhuma na kushtakiwa .......ni kweli EPA zilipigwa ila Benki na serikali na hao mafisadi wote wameziweka chini ya carpet kwa hiyo imebaki kuwa tuhuma tuu , tukirudi kwenye mambo ya kibenki CRDB ndio ina Amana kubwa kuliko benki zote ....Jamaa amekuwa MD wa benki kwa zaidi ya 15 years .......benki inafanya vizuri ...tumeona madudu ya wabongo wakipewa nafasi za kuongoza mabenki afadhali jamaa amekomaa miaka yote hii.......Mimi nampongeza.......kila la kheri
 
Yaani wabongo huwa tunaangalia mabaya tu ! mazuri hatuangalii, Kimei anastahili kabisa kupata Tunzo hata hizo account za epa sio kazi yake kufungua, benk ni nyingi sana yeye kama mtendaji atawezaje kuangalia hii accout ni ya nani na hii ni ya nini hata kama ni robot litachoka tu. mwacheni mtu wa watu afanye mambo yake akingali hai. :angry:
 

Mkuu habari ndio hiyo.
 

Kenya Commercial Bank (KCB) waliwezaje? Nani alitakiwa kuwa mzalendo zaidi kwa Tanzania kati ya CRDB na KCB?
 
crdb unaweza fungua akaunti hata siku ya mapumziko, wanachojali ni hela hata kama ni haramu
 
 

waislamu tunazidi kuonewa, kwa nini asipewe sheikh ponda?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…