Dk. Magufuli ajitosa Katiba Mpya, awabeza CHADEMA

Kwa Tanzania yetu hii,,,watu wameshasahau kama walichakachuliwa katiba yao mimi naona hakuna jipya
Ndo bongo hiii bwana! Wepesi wa kusahau unatisha!

Katiba ya kifisadi itakuwa imepita ili kutengeneza mafisadi wengine wapya!
 
Sita wamemaliza kisiasa kwa hiyo hiyo Katiba ya kulazimisha. Huyu naye si alikuwa mmoja wao. Leo hii tena
 
Huyu fisadi ...mwaka huu atashangaa..sana
 

Wananchi wa leo wanaukataa mfumo mbovu uliopo ndani ya ccm kauli mbiu mwaka huu UKAWA kwanza Magufuli badaadaeee.
 
sasa amesahau kama bunge ndo lilichakachua na yeyeakiwa moja waoo
 
Makufuli vipi sheria ya gesi anaikubali sasa kama anaikubali vipi anawambia watanzania anaweza kuleta maendeleo?

Wewe kipengele gani cha sheria ile ambacho unakiona hakifai?
 
Magufuli ni mwizi na anahonga nyumba za serikali vimada wake
 
Wananchi wa leo wanaukataa mfumo mbovu uliopo ndani ya ccm kauli mbiu mwaka huu UKAWA kwanza Magufuli badaadaeee.

Endelea kuzoea taratibu,uchaguzi wa Rais ushaisha jumapili iliyopita.Magufuli anasubiri kuapishwa tu.
 
magufuli amewekewa msaidizi ambaye aliongoza uchakachuaji wa maoni ya wananchi kwenye suala la katiba mpya. magufuli hana jipya ni wanaccm walewale..
 
Watanzania tusitegemee Magufuri kufanya vitu tofauti ndani ya CCM kwani tatizo ni MFUMO na sio yeye.

Hivo Mafisadi wa Escrow wataendelea kulindwa,Nyumba alizoziuza kifisadi hazitarudishwa,Mikataba ya Siri ya Mafuta na Gesi haitawekwa wazi.

Tusijidanganye na mtu kwani tatizo ni CCM na ndio kinatakiwa tupiganie ili kitoke madarakani na si vongonevyo
 
Achani kumchongea rais wetu, wala huo uchonganishi hautawasaidia
 
Magufuli aje kutuambia je, zina million 156 daily capacity charge wataendelea kulipwa DOWANS/RICHMOND?

Je, wakulima na masikini wa Tanzania watandelea kunyonywa kupitia mafuta taa bei juu?

Je, Magufuli atuambie zile Million 700 ni za nini?

je mfupa alioushindwa mkapa, yeye atauweza?

Je, Pombe magufuli,,,, utalinda wazee waliofilisi nchi na maakiba yao USWISS?

Je Magufuli... Pesa za USWISS utarudisha..

Je waziri Wa ujenzi utamteua nani?

Waziri wa fedha ni Saada Mkuya tena

Je magufuli, shillingi yetu vipi
 
Habarini wakuu,

Naomba kujulishwa kuwa Mgombea urahisi wa CCM, bwana John Magufuli anasemaje kuhusu ile katiba inayotakiwa na Wananchi wa Tanzania?

Je ataibariki au ataiendeleza ile yenye maslahi ya Wachache na isiyotakiwa na Wananchi? Kwakuwa sikuwahi kumsikia akiiongelea.

Msaada wenu tafadhali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…