Ojuolegbha
JF-Expert Member
- Sep 6, 2020
- 1,278
- 797
DK. MWINYI AKUTANA NA UONGOZI WA TAASISI YA BIG WIN
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dkt. Hussein Ali Mwinyi amewataka Taasisi ya Big Philanthropy ya Uingereza kushirikiana na Serikali kwa mpango wa lishe mashuleni katika kupunguza utoro na kuongeza ufaulu.
Rais Dkt. Mwinyi ameyasema hayo alipokutana na Afisa Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Big Win Philanthropy, Dkt. Kesete Admasu na ujumbe wake waliofika Ikulu Zanzibar tarehe 25 Juni, 2024.
Aidha Afisa Mtendaji Mkuu wa Taasisi hiyo Dkt. Admasu ameleeza kuwa wako tayari kushirikiana na Serikali katika fursa za kuwajengea uwezo watendaji wa Serikali na viongozi pamoja na ushirikiano wa sekta mbalimbali.
PIA SOMA
- Mama Mariam Mwinyi akutana na Viongozi wa Taasisi ya Big Win Uingereza
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dkt. Hussein Ali Mwinyi amewataka Taasisi ya Big Philanthropy ya Uingereza kushirikiana na Serikali kwa mpango wa lishe mashuleni katika kupunguza utoro na kuongeza ufaulu.
Rais Dkt. Mwinyi ameyasema hayo alipokutana na Afisa Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Big Win Philanthropy, Dkt. Kesete Admasu na ujumbe wake waliofika Ikulu Zanzibar tarehe 25 Juni, 2024.
Aidha Afisa Mtendaji Mkuu wa Taasisi hiyo Dkt. Admasu ameleeza kuwa wako tayari kushirikiana na Serikali katika fursa za kuwajengea uwezo watendaji wa Serikali na viongozi pamoja na ushirikiano wa sekta mbalimbali.
PIA SOMA
- Mama Mariam Mwinyi akutana na Viongozi wa Taasisi ya Big Win Uingereza