Dk. Ndugulile: Hongera sana Dkt. Ashatu Kijaji kwa kuteuliwa. Kazi Iendelee”

Dk. Ndugulile: Hongera sana Dkt. Ashatu Kijaji kwa kuteuliwa. Kazi Iendelee”

mshale21

JF-Expert Member
Joined
Apr 8, 2021
Posts
2,126
Reaction score
5,068
Juzi, Rais Samia alifanya mabadiliko madogo katika baraza la mawaziri kwa kutengua uteuzi wa mawaziri watatu akiwamo Ndugulile na kuteua wapya wanne ambao ni Dk Ashatu Kijaji, Dk Stergomena Tax, January Makamba na Profesa Makame Mbarawa.

Ndugulile uteuzi wake ulienguliwa na nafasi yake kuchukuliwa na Dk Kijaji ambaye ni mbunge wa Kondoa Vijijini.

Ndugulile, jana Jumatatu Septemba 13, 2021, kupitia mtandao wa kijamii aliandika;

“Namshukuru sana Rais Samia Suluhu Hassan kwa kunipa fursa ya kuhudumu katika Serikali yake. Nawashukuru Wizara na taasisi zake kwa ushirikiano walionipa. Nashukuru wadau wa Tehama kwa ushirikiano mlionipa. Hongera sana Dk Ashatu kwa kuteuliwa. Kazi Iendelee”

Ndugulile.jpg
 
Dishi limeyumba hongera ili iweje anajua akifanya hivyo ndio atarudishwa tena kama kipindi kile jiwe alipompiga chini alipokua afya alijitia kushukuru, hana maana yule jamaa
 
Dishi limeyumba hongera ili iweje anajua akifanya hivyo ndio atarudishwa tena kama kipindi kile jiwe alipompiga chini alipokua afya alijitia kushukuru, hana maana yule jamaa
Hahahaha! Janja weed bhana!
 
Juzi, Rais Samia alifanya mabadiliko madogo katika baraza la mawaziri kwa kutengua uteuzi wa mawaziri watatu akiwamo Ndugulile na kuteua wapya wanne ambao ni Dk Ashatu Kijaji, Dk Stergomena Tax, January Makamba na Profesa Makame Mbarawa.

Ndugulile uteuzi wake ulienguliwa na nafasi yake kuchukuliwa na Dk Kijaji ambaye ni mbunge wa Kondoa Vijijini.

Ndugulile, jana Jumatatu Septemba 13, 2021, kupitia mtandao wa kijamii aliandika;

“Namshukuru sana Rais Samia Suluhu Hassan kwa kunipa fursa ya kuhudumu katika Serikali yake. Nawashukuru Wizara na taasisi zake kwa ushirikiano walionipa. Nashukuru wadau wa Tehama kwa ushirikiano mlionipa. Hongera sana Dk Ashatu kwa kuteuliwa. Kazi Iendelee”

Moja ya Twitter iliyosheheni unafiki Mkubwa!
 
Sawa kaka Ndugulile. Hivyo ni visasi maana bashite ni adui yako mkubwa sana maana alikuwa anamgonga huyo hangaya. Pili Dini yako imekuponza hangaya hataki wakristo kupita kiasi maana anawachukia sana wakristo. Lakini usijali kaka Kalemani, Ndugulile na uliyekuwa kwenye habari. Vita iendelee
 
Back
Top Bottom