Dk Slaa anateswa na kiapo cha upadre, kile kiapo kimeumiza wengi

Dk Slaa anateswa na kiapo cha upadre, kile kiapo kimeumiza wengi

mdukuzi

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2014
Posts
20,925
Reaction score
51,688
Kwa nini viongozi huwa wanaapishwa?
Unadhani ule ni utani?
Ni agano kati yako na Mungu ukienda kinyume itakutafuna tu,kama sio wewe ni kizazi chako.

Kiapo cha mapadre ni hatari sana nina mifano ya mapadre watatu ambao walivunja kiapo na kuamua kuoa ila mwisho wao ulikuwa sio mzuri.

Dk Slaa anazeeka bila amani sababu ya kiapo

Mungu fundi
 
tea_mobama-_012515064953.jpg
 
Kwani si kuna utaratinu ulifuatwa mpaka yeye kurudi kwenye life la kawaida?? Kama kuna utaratibu na ulifuatwa, bas hiyo ndio namna ya kumtoa mtu kwenye agano/kiapo ambacho humfunga mtu.
Mfano kwa sisi wakristo, ndoa ni agano (kiapo cha ndoa) , ila ujitoe kwenye hili agano kuna sababu na taratibu zake , ya kwanza ni Kifo, nyingine ni Zinaa. Hivi vinamuweka mtu free kuendelea na maisha mengine nje ya kiapo bila madhara
 
Kumbe mkipewa ofa yakukaa nyumbani ndo mnawaza hivi!, haya kesho kazini.
 
Kwa hiyo ndio mnataka kutumia dini kuhalalisha uharamia wa kumnyima dhamana ?🐼
 
Upuuzi tu.
Sisi wengine tunaoteseka huku mitaani, tulikula kiapo gani?
 
Back
Top Bottom