Dk Slaa ataka posho za wabunge zipigwe panga ziongezwe waalimu

wajameni
haya ni mambo ya kisiasa...hakuna kitu kama hicho yaani mtu utafute kura kwa mbinde halafu uende bungeni upate hela kiduchu...bado hata hili mnadanganywa???am sure at any given time 90% ya wanaotaka ubunge ni njaa tu......hakuna cha wapinzani wala watawala........hii yote ni kwa sababu ya mazingira tuliyomo....nina kauzoefu na maisha ya kila siku ya kawaida ya mbunge..lazima awe na ka uwezo flani ili aeleweke kwenye jamii inayomzunguka au iliyompigia debe na kumchagua...automatically unabadilika hata kama unania nzuri kabla.........kaaazi kwelikweli
 
hubutu!
haya ni mambo ya kisiasa...hakuna kitu kama hicho yaani mtu utafute kura kwa mbinde halafu uende bungeni upate hela kiduchu...bado hata hili mnadanganywa???am sure at any given time 90% ya wanaotaka ubunge ni njaa tu......hakuna cha wapinzani wala watawala........hii yote ni kwa sababu ya mazingira tuliyomo....nina kauzoefu na maisha ya kila siku ya kawaida ya mbunge..lazima awe na ka uwezo flani ili aeleweke kwenye jamii inayomzunguka au iliyompigia debe na kumchagua...automatically unabadilika hata kama unania nzuri kabla.........kaaazi kwelikweli
 
Ili mjadala huu uwe mzuri inabidi Dr. Slaa atueleze kama kuna mishahara au posho zingine wanazopata wabunge mbali na zile alizozitaja yeye(tsh 135,000/day).
 

Kuonyesha jinsi ambavyo hoja yake ameisimamia na si propaganda za kisiasa za kutupiga changa la macho sisi wadanganyika basi afanye hivi.

Yeye mwenyewe aanze na posho lake japo halitoshi lakini atuonyeshe mfano hai awe anachukuwa posho linalojitosheleza kununua pentrol,kulipia nyumba ya kulala na chakula harafu HUDI linalobaki analigawia masikini.

CHEMBE na CHEMBE mkate huwa anze akipigana na wezake bungeni wakati huo huo anawaonyesha wananchi kwa kulikataa posho hilo ama kulichukuwa na kuliwapa wanalolihitaji.

Ni kweli kwa yeye pekee kuwapa waalimu itakuwa no sense lakini kunavituo vingi sana vya watotot yatima,watoto wa mitaani nafikiri ktk maeneo haya posho lake akiwapatia watu hawa litavisukuma sana vituo hivi.
 

Mkuu
Naona hukunipata vyema ama kiswahili changu sikukipanga ili kieleweke.Swali langu ni kama mawazo yako ya kwamba nini maana ya Mbunge kwenda ku apili kwa wananchi kuhusu fedha ambazo wao wenyewe ndio wanajipitishia na kujilipa??

Aende huko Bungeni apeleke mswaada akautetee huko ,sasa anapokuja kutuambia sisi wananchi ambao hata mswaada hatuwezi kuufikisha huko ana maana gani kama sio kutafuta ----------.

Sisi wananchi karibu wote tunajuwa wabunge wanajipa fedha nyingi na ndiyo maana tunapiga kelele tukapinga kipindi kile walipotaka kujiongeza fedha zaidi hii ina maana mwananchi yuko aware na tatizo hilo,sasa kazi ya wabunge ni kwenda kupigania mawazo ya wananchi huko bungeni na sio kusababisha BROADCAST STORM kama hii ya SLAA .
 
Huu ni unafiki tu... Na utaendelea kuwa unafiki iwapo ataendelea kupita mitaani na Sangara wake akijinadi kwa posho la wabunge. Zaidi nitafurahi iwapo nitamsikia bungeni akilikoromea hili kama anavyofanya kwa issue zingine.
 
Safi sana,Lakini mambo mengi yamekuwa yakisemwa sana na hakuna action yeyote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…