Elections 2010 Dk. Slaa aunguruma Mtwara.... Mh. Marando naona 'gwanda' limekubali!

Elections 2010 Dk. Slaa aunguruma Mtwara.... Mh. Marando naona 'gwanda' limekubali!

Shadow

JF-Expert Member
Joined
May 19, 2008
Posts
2,897
Reaction score
675
6035941.jpg

Mgombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA Dk. Wilbroad Slaa akihutubia umati wa wakazi wa Mtwara alikoenda kutafuta udhamini
DSC01613.jpg

sehemu ya umati mkubwa wa wakazi wa Mtwara mkutanoni hapo
DSC01624.jpg

Mmoja wa wanachama waandamizi wa CHADEMA
Bw. Saidi Arfi akisabahi wakazi wa Mtwara

DSC01622.jpg

Mh. Chiku Abwao akisalimia wakazi wa Mtwara.
DSC01621.jpg

Mh. Mabere Marando akiongea wakati wa mkutano huo

Picha zote ni kwa hisani ya mwana libeneke wa
Mtwara Kumekucha
 
Ha haaha ha kweli Gwanda la Marando limekubali
 
Hakuna kulala mpaka kieleweke.
Kila kona akitua watu kibao.
Safari hii tunategemea Tanzania mpya na si Wadanganyika.
 
Good! Nami nikombioni kulifuata gwanda makao makuu ya Chadema. Aluta continua...!
 
Makamba na kundi lako: Mwaka huu CCM mtajibebaaaa!!!!
 
Natumai hata Mtwara waliwanyima uwanja wao kufanyia kampeni.
 
Katika mfululizo wa mizunguko hii nimebahatika kuwasikiliza wanasiasa hawa wa CHADEMA.
Naomba nikubali kwamba wana uwezo wa kupanga hoja. Hawa siyo wachekeshaji kama katibu wa chama tawala au hata mwenyekiti wake.

Wanatoa hotuba za kisiasa zinazoweza kuwasisimua watu wa ufahamu tofauti, siyo ngonjera.
 
Back
Top Bottom