Mh. Dk. Slaa nadhani ni miezi imepita tangu uutaarifu umma kwamba ulitegeshewa vifaa vya kijasusi vya kurekodi sauti katika chumba chako pale Dodoma.
Swali langu ni kwa nini hujaueleza umma ni nini matokeo ya uchunguzi uliofanywa na wahusika (polisi na UWT)?
Swali langu ni kwa nini hujaueleza umma ni nini matokeo ya uchunguzi uliofanywa na wahusika (polisi na UWT)?