Majidi Kikula alikuwa anafata nini NEC
mwambie huyo mkurugenzi Akanushe kama Majid kikula siyo Usalama wa Taifa. Na kama kuanzia jumapili, jumatatu hakuwa ofisi za NEC
Ushahidi tunao baba.. tutakupa kama ukihitaji.. Kwanza huyo ndo anahalibu hiyo taasis kwa kuwa kapewa hiyo nafasi na swahiba wake kama offer.
wakaachwa watu wenye shule ya kutosha na uwatendaji wazuri tu!! Nenda mahakama kupinga kuwa DR kasema huongo kama hujaumbuka,
Jamani where did I put my trash can?MIMI KWA NIABA YA WAPENDA AMANI TUNOISHI HUKU BUSH NAOMBA DR SLAA ATOE USHAHIDI WAKE KWA KUANZIA JIMBO LAKE ATAGUNDUA WALIOMZUNGUKA NI HAO HAO WATU WAKE WALIOMUELEZA WAMECHUNGULIA CONTEINER LENYE KURA TAYARI AKAAMINI.
AANGALIE TENA JIMBO LA HAI NI Mbunge wamempa CHADEMA LKN RAIS WAMEMPA CCM KIKWETE, 35,910 CHADEMA DR 18,513 UKIENDA IRINGA MJINI amechukua UBUNGE CHADEMA lkn Urais wamempa JK 18,457 SLAA 14,864, KIGOMA KASKAZINI JK ailpata 30,370 DR SLAA 14,773 kwa hiyo ni kuridhika tu URAIS si kitu cha kukimbilia IKULU hakuna Biashara pale, Obama leo anakiona cha moto yote aliyoyafanya lawama Republic wamambana, kuondoa majeshi maboresho ya Afya. Sisi ni kelele tu cement itashushwa mpaka 5,000/= (hivi kuyabeba yale mawe kwenda kuyasaga pale Tanga ili upate cement ni bei gani? ndipo tena uusafirishe mfuko huohuo hadi Mwanza)
Jamani angalieni Wabunge wote lao ni moja huwezi ukaingia madarakani ukachota fungu kupeleka Jimbo la Segerea au Ilemela ni uongo mtupu baada ya miaka 5 patakuwa Moto vijana wadai kazi maisha bora, tena si mbali KAWE tu
MUNGU IBARIKI TANZANIA
MUNGU MBARIKI JAKAYA KIKWETE sasa aondokane na uvumilivu,achape kazi na atakayeedeleza uongo uandiki ni kichapo tu sasa.
Rais akishaapishwa agenda inafungwa, ameruhusu Demokrasia sana, tofauti na kina - Mugabe na Viongozi wote wa Africa
Dk. Willbrod Slaa, ameitaka Idara ya Usalama wa Taifa iende mahakamani endapo madai aliyoyatoa dhidi yao si kweli.
Majidi Kikula alikuwa anafata nini NEC
mwambie huyo mkurugenzi Akanushe kama Majid kikula siyo Usalama wa Taifa. Na kama kuanzia jumapili, jumatatu hakuwa ofisi za NEC
Ushahidi tunao baba.. tutakupa kama ukihitaji.. Kwanza huyo ndo anahalibu hiyo taasis kwa kuwa kapewa hiyo nafasi na swahiba wake kama offer.
wakaachwa watu wenye shule ya kutosha na uwatendaji wazuri tu!! Nenda mahakama kupinga kuwa DR kasema huongo kama hujaumbuka,
MIMI KWA NIABA YA WAPENDA AMANI TUNOISHI HUKU BUSH NAOMBA DR SLAA ATOE USHAHIDI WAKE KWA KUANZIA JIMBO LAKE ATAGUNDUA WALIOMZUNGUKA NI HAO HAO WATU WAKE WALIOMUELEZA WAMECHUNGULIA CONTEINER LENYE KURA TAYARI AKAAMINI.
AANGALIE TENA JIMBO LA HAI NI Mbunge wamempa CHADEMA LKN RAIS WAMEMPA CCM KIKWETE, 35,910 CHADEMA DR 18,513 UKIENDA IRINGA MJINI amechukua UBUNGE CHADEMA lkn Urais wamempa JK 18,457 SLAA 14,864, KIGOMA KASKAZINI JK ailpata 30,370 DR SLAA 14,773 kwa hiyo ni kuridhika tu URAIS si kitu cha kukimbilia IKULU hakuna Biashara pale, Obama leo anakiona cha moto yote aliyoyafanya lawama Republic wamambana, kuondoa majeshi maboresho ya Afya. Sisi ni kelele tu cement itashushwa mpaka 5,000/= (hivi kuyabeba yale mawe kwenda kuyasaga pale Tanga ili upate cement ni bei gani? ndipo tena uusafirishe mfuko huohuo hadi Mwanza)
Jamani angalieni Wabunge wote lao ni moja huwezi ukaingia madarakani ukachota fungu kupeleka Jimbo la Segerea au Ilemela ni uongo mtupu baada ya miaka 5 patakuwa Moto vijana wadai kazi maisha bora, tena si mbali KAWE tu
MUNGU IBARIKI TANZANIA
MUNGU MBARIKI JAKAYA KIKWETE sasa aondokane na uvumilivu,achape kazi na atakayeedeleza uongo uandiki ni kichapo tu sasa.
Rais akishaapishwa agenda inafungwa, ameruhusu Demokrasia sana, tofauti na kina - Mugabe na Viongozi wote wa Africa
hapo isomeke hivyobrother, go and post your crap in another forum, not here. Jamii forum is for chadema!!!!
Hawa usalama wa taifa ukiwa chunguza sana utawakuta wakwere kibao. Halafu nimeshtukia JK ana kaudini.
unajua hapo ndipo utakapo ona kuwa Usalama wa taifa una mushkeli, sidhani ni busara kwa kiongozi wa juu wa idara hiyo kumjibu Slaa, kilichompasa ni kumwita Slaa na kuchukua data ili wafatilie hiyo ndio maana ya intelligence na wala sio kupayuka mbele ya vyombo vya habari