Dkt. Akandunduma: Halima Mdee na wenzake wanapigania Ubunge au Uanachama wao CHADEMA?

Dkt. Akandunduma: Halima Mdee na wenzake wanapigania Ubunge au Uanachama wao CHADEMA?

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Dr Akandunduma anasema mfumo wa sheria wa Tanzania una mapungufu mengi ndio sababu Katoliki na Bakwata wana Mahakama zao

Dokta anasema Halima Mdee na wenzake wamevuliwa uanachama na Chadema hivyo wanachopigania mahakamani ni kurejeshewa uanachama.

Suala la ubunge ni lingine kabisa tena ni rahisi mno ndio sababu wabunge wa CCM wakivuliwa uanachama huwa hawakimbilii mahakamani because wana uelewa mkubwa wa Katiba ya nchi.
 
Dr Akandunduma anasema mfumo wa sheria wa Tanzania una mapungufu mengi ndio sababu Katoliki na Bakwata wana Mahakama zao

Dokta anasema Halima Mdee na wenzake wamevuliwa uanachama na Chadema hivyo wanachopigania mahakamani ni kurejeshewa uanachama.

Swala la ubunge ni lingine kabisa tena ni rahisi mno ndio sababu wabunge wa CCM wakivuliwa uanachama huwa hawakimbilii mahakamani because wana uelewa mkubwa wa Katiba ya nchi.
Wanachukua chako mapema wanaelewa?wakati wakifika getini wanavua ubongo na kuukabidhi Kwa Wana chukua chako mapema (Ccm)🤔
 
Nani apiganie uanachama ?? No body can do such kind of shit ..hata Chadema wenyewe wanapigania huo ubunge , hakuna haja ya kuzunguka wakat battle zone inaeleweka ...let us watch this wonder full movie
 
Nani apiganie uanachama ?? No body can do such kind of shit ..hata Chadema wenyewe wanapigania huo ubunge , hakuna haja ya kuzunguka wakat battle zone inaeleweka ...let us watch this wonder full movie
Kwakuwa udhaifu upo mjengoni sio,hivyo tikubaliane udhaifu uliosemwa anaoshotii na mjengo wake ameurithisha Kwa Bi tall🚶
 
Kina Mdee wanatetea na jopo la mawakili wa Serikali. .

CDM jueni mnapambana na Dola.
 
Hapo ni maslahi yao wanapigania
Na wengine nao wanapigania wapate maslahi pia

Ova
 
Dr Akandunduma anasema mfumo wa sheria wa Tanzania una mapungufu mengi ndio sababu Katoliki na Bakwata wana Mahakama zao

Dokta anasema Halima Mdee na wenzake wamevuliwa uanachama na Chadema hivyo wanachopigania mahakamani ni kurejeshewa uanachama.

Swala la ubunge ni lingine kabisa tena ni rahisi mno ndio sababu wabunge wa CCM wakivuliwa uanachama huwa hawakimbilii mahakamani because wana uelewa mkubwa wa Katiba ya nchi.
Kuna udokta wa aina nyingi, madokta wengine wame specialise katika kutibu mbuzi, kondoo,mbwa, au mimea kama korosho,pamba, katani, huyu Yuko kundi hili?
 
Dr Akandunduma anasema mfumo wa sheria wa Tanzania una mapungufu mengi ndio sababu Katoliki na Bakwata wana Mahakama zao

Dokta anasema Halima Mdee na wenzake wamevuliwa uanachama na Chadema hivyo wanachopigania mahakamani ni kurejeshewa uanachama.

Suala la ubunge ni lingine kabisa tena ni rahisi mno ndio sababu wabunge wa CCM wakivuliwa uanachama huwa hawakimbilii mahakamani because wana uelewa mkubwa wa Katiba ya nchi.
Rubbish ,huyo Akundunduma Ni majanga. Ubunge nanuanachama are inseperable!
 
CHADEMA haipiganii ubunge Bali
Nani apiganie uanachama ?? No body can do such kind of shit ..hata Chadema wenyewe wanapigania huo ubunge , hakuna haja ya kuzunguka wakat battle zone inaeleweka ...let us watch this wonder full movie
Wanaopigania ubunge Ni kina Halima.
 
Mbereko ishakatika !! Haya ndiyo madhara ya dili za gizani.
 
Dr Akandunduma anasema mfumo wa sheria wa Tanzania una mapungufu mengi ndio sababu Katoliki na Bakwata wana Mahakama zao

Dokta anasema Halima Mdee na wenzake wamevuliwa uanachama na Chadema hivyo wanachopigania mahakamani ni kurejeshewa uanachama.

Suala la ubunge ni lingine kabisa tena ni rahisi mno ndio sababu wabunge wa CCM wakivuliwa uanachama huwa hawakimbilii mahakamani because wana uelewa mkubwa wa Katiba ya nchi.

Swala la kina Halima liko wazi, na wao wala hawakuwa na shida, kuna watu ndani ya serikali na bunge ndio waliamua kupindisha sheria na kuwafanya wao leo wasione umuhimu wa kufuata sheria. Na hili liko wazi, CCM na viongozi wao, Spika, Rais mwendazake ndio waliopindisha sheria.
 
Back
Top Bottom