Dkt. Ayoub Ryoba leo utanisamehe kwani Wewe ni Mwalimu wangu, Poti wangu na nakubali mno IQ yako, ila nakusema bila Aibu

Dkt. Ayoub Ryoba leo utanisamehe kwani Wewe ni Mwalimu wangu, Poti wangu na nakubali mno IQ yako, ila nakusema bila Aibu

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Hivi inawezekanaje TBC1 kama Chombo cha Taifa kinatoa Kipaumbele kwa Saa zaidi ya Mbili (Masaa Mawili) Watangazaji wake kuonyesha Viongozi wa Mikoa (RC's) na Wenyeviti wa CCM Mikoa wakimsifia Rais Samia katika 'Birthday' yake leo huku ukijua kabia kuwa kuna Mkutano mkubwa Tanzania na Watanzania tungependa kujua mengi yatakonayo na huo Mkutano wa Nishati kuliko Upuuzi wa 'Birthdays' za Uzeeni za Ubabu na Ubibi?

Poti wangu / Mwetu wangu Dkt. Ayoub Ryoba na Mwalimu wangu Siku hizi umekumbwa na nini Kaka? Asali imekunogea?
 
Hivi inawezekanaje TBC1 kama Chombo cha Taifa kinatoa Kipaumbele kwa Saa zaidi ya Mbili (Masaa Mawili) Watangazaji wake kuonyesha Viongozi wa Mikoa (RC's) na Wenyeviti wa CCM Mikoa wakimsifia Rais Samia katika 'Birthday' yake leo huku ukijua kabia kuwa kuna Mkutano mkubwa Tanzania na Watanzania tungependa kujua mengi yatakonayo na huo Mkutano wa Nishati kuliko Upuuzi wa 'Birthdays' za Uzeeni za Ubabu na Ubibi?

Poti wangu / Mwetu wangu Dkt. Ayoub Ryoba na Mwalimu wangu Siku hizi umekumbwa na nini Kaka? Asali imekunogea?
Hauna kazi ya kufanya Nini?
Kabisa unapoteza muda wako kwa kumfuatilia Ayub Rioba na Tbc yake, seriously??
 
Hivi inawezekanaje TBC1 kama Chombo cha Taifa kinatoa Kipaumbele kwa Saa zaidi ya Mbili (Masaa Mawili) Watangazaji wake kuonyesha Viongozi wa Mikoa (RC's) na Wenyeviti wa CCM Mikoa wakimsifia Rais Samia katika 'Birthday' yake leo huku ukijua kabia kuwa kuna Mkutano mkubwa Tanzania na Watanzania tungependa kujua mengi yatakonayo na huo Mkutano wa Nishati kuliko Upuuzi wa 'Birthdays' za Uzeeni za Ubabu na Ubibi?

Poti wangu / Mwetu wangu Dkt. Ayoub Ryoba na Mwalimu wangu Siku hizi umekumbwa na nini Kaka? Asali imekunogea?
Millardayo anafanya vizuri zaidi kiasi imekuwa ni media ya taifa.
Tena ni bora ukaa kaa na kufutilia Tomy and Jerry kuliko hizo takataka
 
Hivi inawezekanaje TBC1 kama Chombo cha Taifa kinatoa Kipaumbele kwa Saa zaidi ya Mbili (Masaa Mawili) Watangazaji wake kuonyesha Viongozi wa Mikoa (RC's) na Wenyeviti wa CCM Mikoa wakimsifia Rais Samia katika 'Birthday' yake leo huku ukijua kabia kuwa kuna Mkutano mkubwa Tanzania na Watanzania tungependa kujua mengi yatakonayo na huo Mkutano wa Nishati kuliko Upuuzi wa 'Birthdays' za Uzeeni za Ubabu na Ubibi?

Poti wangu / Mwetu wangu Dkt. Ayoub Ryoba na Mwalimu wangu Siku hizi umekumbwa na nini Kaka? Asali imekunogea?
Dunia ya leo ni kwanini imeweka kipaumbele sana mambo ya kusherekea birthday?? Zamani huu upumbavu kulikuwa hamna.

Mimi hadi leo hata siku yangu ya birthday huwa siikumbuki, sina nayo time. Na nikimwona mtu anayeipa airtime birthday huwa namdharau sana.
 
Dunia ya leo ni kwanini imeweka kipaumbele sana mambo ya kusherekea birthday?? Zamani huu upumbavu kulikuwa hamna.

Mimi hadi leo hata siku yangu ya birthday huwa siikumbuki, sina nayo time. Na nikimwona mtu anayeipa airtime birthday huwa namdharau sana.
Mwanaume ndo kabisa huwa namuona hajitambui kabisa hata kidogo.
 
😂🤣😂🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂
 
Hivi kumbe TBC bado ipo
Kwenye king'amuzi changu nimeiblock, itaniharibia watoto kuwa machawa..
Kila dk ni watu wanashukuru
IMG-20241007-WA0000.jpg
 
Vip yule wa Guinea anavaa kijeshi na bunduki kiunoni amefika?
 
Back
Top Bottom