Dkt. Ayoub Ryoba leo utanisamehe kwani Wewe ni Mwalimu wangu, Poti wangu na nakubali mno IQ yako, ila nakusema bila Aibu

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Hivi inawezekanaje TBC1 kama Chombo cha Taifa kinatoa Kipaumbele kwa Saa zaidi ya Mbili (Masaa Mawili) Watangazaji wake kuonyesha Viongozi wa Mikoa (RC's) na Wenyeviti wa CCM Mikoa wakimsifia Rais Samia katika 'Birthday' yake leo huku ukijua kabia kuwa kuna Mkutano mkubwa Tanzania na Watanzania tungependa kujua mengi yatakonayo na huo Mkutano wa Nishati kuliko Upuuzi wa 'Birthdays' za Uzeeni za Ubabu na Ubibi?

Poti wangu / Mwetu wangu Dkt. Ayoub Ryoba na Mwalimu wangu Siku hizi umekumbwa na nini Kaka? Asali imekunogea?
 
Hauna kazi ya kufanya Nini?
Kabisa unapoteza muda wako kwa kumfuatilia Ayub Rioba na Tbc yake, seriously??
 
Millardayo anafanya vizuri zaidi kiasi imekuwa ni media ya taifa.
Tena ni bora ukaa kaa na kufutilia Tomy and Jerry kuliko hizo takataka
 
Dunia ya leo ni kwanini imeweka kipaumbele sana mambo ya kusherekea birthday?? Zamani huu upumbavu kulikuwa hamna.

Mimi hadi leo hata siku yangu ya birthday huwa siikumbuki, sina nayo time. Na nikimwona mtu anayeipa airtime birthday huwa namdharau sana.
 
Mwanaume ndo kabisa huwa namuona hajitambui kabisa hata kidogo.
 
πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Vip yule wa Guinea anavaa kijeshi na bunduki kiunoni amefika?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…