Dkt. Bagonza: Kama kila kitu amefanya Rais, wakija kwenye kampeni waulizeni wao wamefanya nini?

Dkt. Bagonza: Kama kila kitu amefanya Rais, wakija kwenye kampeni waulizeni wao wamefanya nini?

Jibu ni kwamba rais na viongozi wote ni timu moja.

Akisifiwa golkipa Emi Martinez au Allison ni sawa na kusifiwa timu nzima ya Aston Villa ama Liverpool.

Understood, Dr.?

BTW, rasilimali za nchi zitumike kwa manufaa ya Watanzania.
 
Jibu ni kwamba rais na viongozi wote ni timu moja.

Akisifiwa golkipa Emi Martinez au Allison ni sawa na kusifiwa timu nzima ya Aston Villa ama Liverpool.

Understood, Dr.?

BTW, rasilimali za nchi zitumike kwa manufaa ya Watanzania.
Kuwa timu moja ni jambo lengine na mmoja kufanya yote peke yake ni jambo lengine.
 
Na waulizwe pia hizo hela zote wanazomsifia Rais huwa anazitoa wapi?

Maana utawasikia "tunamshukuru sana Rais kwa kutupatia bilioni kadhaa kwa ajili ya ujenzi/ununuzi wa kitu fulani!"
 
Naunga mkono hoja, Dkt. Benson Bagonza ana hoja nzito, asikilizwe.

View attachment 3030423
Wakenya wana akili kubwa kuliko mtu yeyote wa Afrika Mashariki.Si vijana pekee yao,si wazee pkee yao, akina mama peke yao,Wakikuyu peke yao,Wakurya pekee yao,Wajaluo pekee yao,Wameru pekee yao,Wakalenjini pekee yao hawataki udhalimu wa Ruto bali wote wako pamoja kupingana na hujuma za dola yao.Na sisi tukiwa hivyo maneno ya kumsifia Rais yataisha mara moja.
 
Back
Top Bottom