Dkt Bashiru aliyeokotwa kwenye jalala anaweza kutangazwa makamu Mwenyekiti wa CCM.

Dkt Bashiru aliyeokotwa kwenye jalala anaweza kutangazwa makamu Mwenyekiti wa CCM.

Nkarahacha

Member
Joined
Oct 3, 2023
Posts
17
Reaction score
38
Vyanzo vyangu vinanitonya kuwa Dkt Bashiru Ally anaweza kutangazwa kuwa Makamu Mwenyekiti wa CCM taifa kuchukua nafasi ya Kinana.

Shida niliyogundua kwake kipindi akiwa Katibu mkuu ni kuamini kuwa bado wananchi wana mawazo ya enzi za mwalimu,ameachwa sana na wakati.

Haendani na kasi ya mabdiliko yalipo kwenye kizazi cha sasa na ikitokea kweli wamemtangaza kama Makamu Mwenyekiti basi CCM itakuwa imepiga hatua 10 kurudi nyuma.
 

Attachments

  • Screenshot_2024_0812_124946.png
    Screenshot_2024_0812_124946.png
    493 KB · Views: 4
Mleta mada hacha ujinga,hii nchi ata ufanye nini hauwezi itenganisha na mwalimu Nyerere na nyakati zake mana bado tunaishi na maono yake yaliyo Mengi.
Yapo ya kuyaacha na bado yapo tunayoyachukua kwa muasisi wetu...Huyu bashiru ni mtu makini sana Tatizo lake ni zile tabia za kihaya tu. Wakimchukua huyu ccm hawakamatiki kama Dar yanga Afrika.
 
Back
Top Bottom