Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,170
- 6,757
Kwa wale ambao tumekuwa tunafuatilia mambo tunakumba jinsi Katibu mkuu wa Ccm alivyowahi kukiri hadharani kuwa Ccm ina tatizo la kuwa na ombwe la viongozi.
Hii ina maanisha viongozi wa CCM wapo tu ila hawajui wajibu wao kama viongozi. Ndio maana kuna shida kubwa juu ya kutatua kero za wananchi. Maana uelewa wa viongozi wengi wa CCM ni mdogo.
Katibu wa Ccm alinukuliwa akisema ndio maana Ccm imejenga chuo cha uongozi cha mwl JKN huko kibaha ili wanachama wa Ccm wawe wanaenda kupigwa msasa ili wawe viongozi bora na sio bora viongozi.
Mbona ndugu Bashiru Ally upo kimya huku wanachama wa CCM wanafanya fyongo? Wamejigeuza mamlaka za kutoa adhabu,wanatoa maagizo yasiyofaa na wewe upo kimya?
Umeshahu kuwa unatakiwa uwakemee na uwapeleke Kibaha kupigwa msasa?
Vipi kijana wako H. Polepole atawapigia simu kweye kipindi cha Papo kwa papo ili awahoji juu ya hizi fyongo wanazofanya?
Hii ina maanisha viongozi wa CCM wapo tu ila hawajui wajibu wao kama viongozi. Ndio maana kuna shida kubwa juu ya kutatua kero za wananchi. Maana uelewa wa viongozi wengi wa CCM ni mdogo.
Katibu wa Ccm alinukuliwa akisema ndio maana Ccm imejenga chuo cha uongozi cha mwl JKN huko kibaha ili wanachama wa Ccm wawe wanaenda kupigwa msasa ili wawe viongozi bora na sio bora viongozi.
Mbona ndugu Bashiru Ally upo kimya huku wanachama wa CCM wanafanya fyongo? Wamejigeuza mamlaka za kutoa adhabu,wanatoa maagizo yasiyofaa na wewe upo kimya?
Umeshahu kuwa unatakiwa uwakemee na uwapeleke Kibaha kupigwa msasa?
Vipi kijana wako H. Polepole atawapigia simu kweye kipindi cha Papo kwa papo ili awahoji juu ya hizi fyongo wanazofanya?