Dkt. Bashiru kweli kajilipua au lengo ni kufunika mjadala wa mgao wa umeme unaendelea nchini?

Dkt. Bashiru kweli kajilipua au lengo ni kufunika mjadala wa mgao wa umeme unaendelea nchini?

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Mgao wa umeme ni tatizo kubwa na linalogusa karibu kila mtu hivyo kisiasa ni jambo la hatari sana kwa CCM.

Sasa kuibuka kwa Dr. Bashiru na matamshi yake yanayoonekana kumlenga Bi. Mkubwa kipindi hiki cha mgao, lengo ni kuhamisha attention ya watu kutoka kwenye mgao wa umeme waanze kujadili matamshi ya Bashiru ?

Kama huo ndio mpango wao, binafsi naona wamechemka na zaidi watakuwa wanamuweka Bi. Mkubwa mahali pabaya zaidi.

It is very unlikely, ila kwa hawa watu bado inawezekana.

Watanzania tupaze sauti kudai maji na umeme, haya ya Bashiru na Mwenyekiti wake yatapita tu na Bashiru hakuna anachoweza kufanya.
 
Mgao wa umeme ni tatizo kubwa na linalogusa karibu kila mtu hivyo kisiasa ni jambo la hatari sana kwa CCM.

Sasa kuibuka kwa Dr. Bashiru na matamshi yake yanayoonekana kumlenga Bi. Mkubwa kipindi hiki cha mgao, lengo ni kuhamisha attention ya watu kutoka kwenye mgao wa umeme waanze kujadili matamshi ya Bashiru ?

Kama huo ndio mpango wao, binafsi naona wamechemka na zaidi watakuwa wanamuweka Bi. Mkubwa mahali pabaya zaidi.

It is very unlikely, ila kwa hawa watu bado inawezekana.

Watanzania tupaze sauti kudai maji na umeme, haya ya Bashiru na Mwenyekiti wake yatapita tu na Bashiru hakuna anachoweza kufanya.
Umewaza kijinga sana aisee
 
Umewaza kijinga sana aisee
Sasa hivi CCM wataibuka kila kona kumshbulia Bashiru na nyiny mtabaki kuwajadili wakati issue ya msingi kwa sasa ni maji na umeme.

Mwenyekiti wa CCM ni Mungu Mtu katika chama na serikali, hakuna watachomfanya na hilo Mama analijua.
 
Watu walishachezeshwa mpaka movie ya semunge kwa babu. Hii nchi ina wataalamu wa michongo acha tu
 
Mgao wa umeme ni tatizo kubwa na linalogusa karibu kila mtu hivyo kisiasa ni jambo la hatari sana kwa CCM.

Sasa kuibuka kwa Dr. Bashiru na matamshi yake yanayoonekana kumlenga Bi. Mkubwa kipindi hiki cha mgao, lengo ni kuhamisha attention ya watu kutoka kwenye mgao wa umeme waanze kujadili matamshi ya Bashiru ?

Kama huo ndio mpango wao, binafsi naona wamechemka na zaidi watakuwa wanamuweka Bi. Mkubwa mahali pabaya zaidi.

It is very unlikely, ila kwa hawa watu bado inawezekana.

Watanzania tupaze sauti kudai maji na umeme, haya ya Bashiru na Mwenyekiti wake yatapita tu na Bashiru hakuna anachoweza kufanya.
WATANZANIA DAINI MAJI UMEME NA TOZO
 
Wanaenda kumfanyia kama Ndungai. Wamejaa chuki pia, kama wale wengine tu, tofauti ni kuwa wakati ule ni wao ndio waliwekwa pembeni.
 
Back
Top Bottom