voicer
JF-Expert Member
- Jul 13, 2020
- 5,545
- 11,935
Je, Majambazi wakivamia eneo ulipo wewe, na kisha wakati uvamizi ukiendelea akatokea Jambazi mmoja akujuaye binafsi, ambae kumbe ni jirani yako kule mtaani kwako.
Ila kwa bahati mbaya mmekutana akiwa kazini ila asiyetaka wewe jirani yake udhurike au kuuawa!
Tena Bila hata kujali kwamba kupona kwako,ni hatari kwake na majambazi wenzie huko mbeleni dhidi ya kuwataja kwa Polisi.
Na akakupigia kelele ulale chini ili kuepa Risasi ya Jambazi mwenzake aliyeko nyuma yako,aliyekulenga kutaka kukupiga Risasi wewe!
Utaacha kutii tahadhari ile kutoka kwa jirani yako jambazi ili kujiokoa na kutulia ukisimama wima ili Risasi ikupate bila kulala chini?
Eti Kisa tu anayekutahadharisha ni Jambazi mwenzao?
La hasha! Tahadhari imetoka Moyoni kwa mtoa tahadhari. Haitoki mdomoni bali imepitia hapo mdomoni ili kumfikia mtahadharishwa!
Sehemu muhimu ya siasa ni majadiliano kati ya watu mbalimbali wenye nguvu au mamlaka.
Pia hata wasio na nguvu au mamlaka,lakini wanao uwezo wa kuyaona na kuyajadili yanayokuwa yakitendwa na wanasiasa walioko kwenye siasa za moja kwa moja kiutendaji.
Katika demokrasia kila mtu ana kiasi fulani cha nguvu, kwa hiyo siasa ya demokrasia ina maana ya watu wote kuchangia maamuzi.
Hivyo basi huwezi ukamzuia Bashiru kuyasema yale ambayo ametasema, kulingana na upeo wake yeye kwa wakati husika, tofauti na upeo aliokuwa nao wakati ule.
Huwezi iharamisha tahadhari sahihi kwa wannchi, eti kwa sababu imetoka kwenye kinywa kisicho Sahihi?
Pia watu wengi walikuwa wakimsifia Magufuli (R.I.P), sio kwa ukatili wake,bali walimsifia kwa utendaji na mtindo wake wa Utoaji Maamuzi.
Ambao kutokana na hali ya wakati husika ilivyokuwa imefikia,alionekana kama Muarobaini wa magonjwa ya wakati ule! Ambayo tayari yalikuwa Sugu.
Na huko tuendako sasa,ni kama vile atahitajika Magufuli mwingine tena,ili kuyatibu yale tunayougua kwa sasa!JUA JINSI YA kutumia milele na Mungu. Pata msamaha kutoka kwa Mungu
SWALI
Je, tunaweza kujifunza nini kutokana na maisha ya Paulo? Paulo alikuwa nani?
JIBU
Kuna mengi tunaweza kujifunza kutokana na maisha ya mtume Paulo. Mbali na kawaida, Paulo alipewa fursa ya kufanya mambo ya ajabu kwa ufalme wa Mungu.
Hadithi ya Paulo ni hadithi ya ukombozi katika Yesu Kristo na ushahidi kwamba hakuna mtu aliye zaidi ya neema ya kuokoa ya Bwana.
Hata hivyo, ili tupate kipimo kamili cha mwanadamu, ni lazima tuchunguze upande wake wa giza na kile alichoashiria kabla ya kuwa "Mtume wa Neema." Maisha ya kwanza ya Paulo yaliashiria raghba ya kidini, ukatili wa nguvu, na mateso yasiyo na huruma ya kanisa la kwanza.
Kwa bahati nzuri, miaka ya baadaye ya maisha ya Paulo yanaonyesha ishara tofauti kama aliishi maisha yake kwa ajili ya Kristo na kwa maendeleo ya ufalme Wake.
Hivyo tusimbeze Dkt Bashiru,bali tuyatumie Maneno yake kama yatakuwa yanatufaa.
Alamsikhi.
10101.
Ila kwa bahati mbaya mmekutana akiwa kazini ila asiyetaka wewe jirani yake udhurike au kuuawa!
Tena Bila hata kujali kwamba kupona kwako,ni hatari kwake na majambazi wenzie huko mbeleni dhidi ya kuwataja kwa Polisi.
Na akakupigia kelele ulale chini ili kuepa Risasi ya Jambazi mwenzake aliyeko nyuma yako,aliyekulenga kutaka kukupiga Risasi wewe!
Utaacha kutii tahadhari ile kutoka kwa jirani yako jambazi ili kujiokoa na kutulia ukisimama wima ili Risasi ikupate bila kulala chini?
Eti Kisa tu anayekutahadharisha ni Jambazi mwenzao?
La hasha! Tahadhari imetoka Moyoni kwa mtoa tahadhari. Haitoki mdomoni bali imepitia hapo mdomoni ili kumfikia mtahadharishwa!
Sehemu muhimu ya siasa ni majadiliano kati ya watu mbalimbali wenye nguvu au mamlaka.
Pia hata wasio na nguvu au mamlaka,lakini wanao uwezo wa kuyaona na kuyajadili yanayokuwa yakitendwa na wanasiasa walioko kwenye siasa za moja kwa moja kiutendaji.
Katika demokrasia kila mtu ana kiasi fulani cha nguvu, kwa hiyo siasa ya demokrasia ina maana ya watu wote kuchangia maamuzi.
Hivyo basi huwezi ukamzuia Bashiru kuyasema yale ambayo ametasema, kulingana na upeo wake yeye kwa wakati husika, tofauti na upeo aliokuwa nao wakati ule.
Huwezi iharamisha tahadhari sahihi kwa wannchi, eti kwa sababu imetoka kwenye kinywa kisicho Sahihi?
Pia watu wengi walikuwa wakimsifia Magufuli (R.I.P), sio kwa ukatili wake,bali walimsifia kwa utendaji na mtindo wake wa Utoaji Maamuzi.
Ambao kutokana na hali ya wakati husika ilivyokuwa imefikia,alionekana kama Muarobaini wa magonjwa ya wakati ule! Ambayo tayari yalikuwa Sugu.
Na huko tuendako sasa,ni kama vile atahitajika Magufuli mwingine tena,ili kuyatibu yale tunayougua kwa sasa!JUA JINSI YA kutumia milele na Mungu. Pata msamaha kutoka kwa Mungu
SWALI
Je, tunaweza kujifunza nini kutokana na maisha ya Paulo? Paulo alikuwa nani?
JIBU
Kuna mengi tunaweza kujifunza kutokana na maisha ya mtume Paulo. Mbali na kawaida, Paulo alipewa fursa ya kufanya mambo ya ajabu kwa ufalme wa Mungu.
Hadithi ya Paulo ni hadithi ya ukombozi katika Yesu Kristo na ushahidi kwamba hakuna mtu aliye zaidi ya neema ya kuokoa ya Bwana.
Hata hivyo, ili tupate kipimo kamili cha mwanadamu, ni lazima tuchunguze upande wake wa giza na kile alichoashiria kabla ya kuwa "Mtume wa Neema." Maisha ya kwanza ya Paulo yaliashiria raghba ya kidini, ukatili wa nguvu, na mateso yasiyo na huruma ya kanisa la kwanza.
Kwa bahati nzuri, miaka ya baadaye ya maisha ya Paulo yanaonyesha ishara tofauti kama aliishi maisha yake kwa ajili ya Kristo na kwa maendeleo ya ufalme Wake.
Hivyo tusimbeze Dkt Bashiru,bali tuyatumie Maneno yake kama yatakuwa yanatufaa.
Alamsikhi.
10101.