Ndani ya CCM bado kuna wajamaa na wazalendo wa chache sana kama wakina Dkt Bashiru.
Babeli itakuja na mkombozi Atatokea umo umo ndani yao.
Najua Magufuli hayupo lakini kweli yupo Magufuli mwingine Ataibuka miongoni mwao naye Atatufikisha kwenye Nchi ya Ahadi.
Vilio vimekua vingi na watawala wameziba masikio. Wanapenda kusikia wanayoyapenda na sio wasiyoyapenda.
Maisha yamezidi kuwa magum sana kwa watanzania Leo elf 10, kwa familia ya watu 3 haitoshi?
Waliokua wanajitafutia Riziki zao wamefukuzwa kwa kuitwa wachafuzi wa mazingira na hao wamerudi majumbani familia zimepoteza Riziki.
MUNGU saidia watu wako.