Dkt. Biteko azindua kituo cha kisasa cha kujazia gesi asilia kwenye magari (CNG)

CCM ni rubish kbsa
 
Maelezo mengiii location ya kituo haijatajwa.
 
Ujinga mwingi sana Nchi hii. Kila kitu ni maono ya Rais. Hata kupata kwangu mlo mmoja kwa siku huenda ni maono ya Rais pia. Disgusting. Kituo chenyewe ni hiki kilichojengwa hapa Airport Mkabala na Msikiti?.
Kama ni kile bado ujinga uko pale pale. Hiyo dkk tatu ihudumie hari moja sidhani kama inafanyika. Ukipita pale foleni kubwa ya magari. Hakika wadau wa gesi wanateseka mnoo.
 
Biteko angefaa kuwa Rais sijui kwanini hawamuoni?
 
Naye anaogopa camera
 
Nini tofauti ya CNG & LNG
 
Nini tofauti ya CNG & LNG

CNG - Compressed Natural Gas. Gesi ambayo imeshindiliwa lakini bado iko katika hali ya gesi kwa ajili ya kusafirishwa kupitia mabomba kwenda sehemu mbali mbali kama viwanda, majumbani n.k. Kwa kuwa bomba la gesi limefika tayari Dsm ni rahisi kutengeneza vituo vya CNG.

LNG - Liquefied Natural Gas. Gesi ambayo imesindikwa hadi kuwa kimiminika (liquid) na hivyo kuwa na density kubwa. Mchakato huu unaongeza gharama kubwa, hata hivyo ni rahisi kwa kwa kusafirisha gesi nyingi kwenda kwenye maeneo yasiyo na mabomba. Kwa mfano mikoani, ambapo tutatarajia kuwa na LNG stations.
 
Asante
 
Uongo saa100 hana maono huyo ni marais wawili tu ndio walikuwa na maono! Tena huyu sasa anatuchosha tu li nchi limerudi kuwa shamba la bibi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…