Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
Ayubu 1 (Biblia Takatifu)Kanisa Moja Takatifu la Mitume 🌹
Ayubu 1:6-12
mnamatus ya lejalejaSuti ya Chalamila Wigi la Mama Semamba.
Hapo kila mtu ana lake kichwaniMamia ya Wakatoliki Wamiminika Uwanja wa Uhuru Kongamano la Ekaristi Takatifu
View attachment 3096526
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko amewaasa Watanzania kuishi kwa kuvumiliana, kuheshimiana na kupendana kama ilivyoagizwa na vitabu vya Mungu.
Dkt. Biteko amesema hayo leo Septemba 15, 2024 katika Kongamano la Tano la Ekaristi Takatifu Kitaifa lililofanyika katika Uwanja wa Uhuru jijini Dar es salaaam.
View attachment 3096519View attachment 3096520View attachment 3096521View attachment 3096522View attachment 3096523View attachment 3096524View attachment 3096525
Leo ndiyo watawala wanakumbuka kuna vitabu vya Mungu.Mamia ya Wakatoliki Wamiminika Uwanja wa Uhuru Kongamano la Ekaristi Takatifu
View attachment 3096526
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko amewaasa Watanzania kuishi kwa kuvumiliana, kuheshimiana na kupendana kama ilivyoagizwa na vitabu vya Mungu.
Dkt. Biteko amesema hayo leo Septemba 15, 2024 katika Kongamano la Tano la Ekaristi Takatifu Kitaifa lililofanyika katika Uwanja wa Uhuru jijini Dar es salaaam.
View attachment 3096519View attachment 3096520View attachment 3096521View attachment 3096522View attachment 3096523View attachment 3096524View attachment 3096525
Kuvumiliana kupo lakini Siyo katikà kutekana na kuuana makusudi.Mamia ya Wakatoliki Wamiminika Uwanja wa Uhuru Kongamano la Ekaristi Takatifu
View attachment 3096526
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko amewaasa Watanzania kuishi kwa kuvumiliana, kuheshimiana na kupendana kama ilivyoagizwa na vitabu vya Mungu.
Dkt. Biteko amesema hayo leo Septemba 15, 2024 katika Kongamano la Tano la Ekaristi Takatifu Kitaifa lililofanyika katika Uwanja wa Uhuru jijini Dar es salaaam.
View attachment 3096519View attachment 3096520View attachment 3096521View attachment 3096522View attachment 3096523View attachment 3096524View attachment 3096525
Soma Ayubu 1:6-12Hatutakiwi kuuvumilia ushetani, bali tunatakiwa kujitenga na ushetani.
CCM imenajisiwa na shetani, tujitenge nayo. Kama hujaona chama kikufaacho kuambatana nacho, ni aheri ukaishi bila chama cha siasa, kuliko kujifungamanisha na ibilisi CCM, usije ukastahili kuadhibiwa pamoha nayo
Unamaanisha nani ni shetani aliyejihudhulisha hapo?Soma Ayubu 1:6-12
Itakusaidia kuhusu Kazi za shetani 😄