TANZIA Dkt. Casper Haule wa Hospitali ya Taifa Muhimbili afariki dunia

Songea kuna wachawi sana
Yanaongelewa mengi nasikia sikia.πŸ™Œ
wananzengo wanasema kama jamaa ndo alikua bega Kwa bega mpaka mdogo wake anafariki ,akaja na marehem toka dsm mpaka huku yeye mwenyew kuja mzika ,hiyo presha sijui mshtuko si angeupata huko huko aje aupate dakika za mwisho huku.

Okay ..nilisikia huyo mdogo wake alifariki ghafla Kwa kuanguka tu.
 
Si unaona!! yaani Songea na Mwanza wana huo uchawi wa kumchukua mtu mzimamzima, aidha anafanywa msukule au analiwa nyama kama kuna mzazi au Mjomba na shangazi zao walikula za wenzao
 
Si unaona!! yaani Songea na Mwanza wana huo uchawi wa kumchukua mtu mzimamzima, aidha anafanywa msukule au analiwa nyama kama kuna mzazi au Mjomba na shangazi zao walikula za wenzao
Dah sio poa kabisa Mzee...
saa 8 wamempeleka hosp jamaa ,kule home yule bado hajaenda kuzikwa na huyu amefariki tayari.

Ila hayo mambo dah πŸ™Œ
 
Si unaona!! yaani Songea na Mwanza wana huo uchawi wa kumchukua mtu mzimamzima, aidha anafanywa msukule au analiwa nyama kama kuna mzazi au Mjomba na shangazi zao walikula za wenzao
Sijui tutaachana na hizi imani lini masikini. Poor Africa [emoji1545][emoji1545][emoji1545]
 
Daah..! Pole sana hakika ni pigo kwa familia.
Ila huu utaratibu wa kuaga mwili ningekua na mamlaka ningeufutilia mbali maana ni mara kadhaa watu hudondoka na kupoteza fahamu.
Binafsi naona picha ya marehemu inatosheleza sana mbona wenzetu Waislamu hawana utaratibu huu..?
 
Mungu wangu!
 
Msiba mzito sana. R.I.P Doctor

Pole nyingi kwa familia
 
Umeamka na mimi bro? Post yangu inahusiana nini na hyo post namba 6? Nimesema marehemu kafa na Corona au nimesema tuchukue tahadhari kirusi hatarishi kipo. Tusiharibiane siku
Hapana sijaamuka na wewe mkuu
 
R.I.E.P....Sad story...
maisha ya binadamu ni very delicate...Mwenyezi Mungu atupe mwisho mwema.
 
Dah
Dah! Haya, Siku zake zilifika. Umeelezea vzuri...japo inashitua.
 
Daaah!poleni sana!very sad ...watoto na familia zao inasikitisha sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…