Mama Tanzania atakuwa nani
Kama kusimikwa kwenyewe nikuwekewa matakataka basi Tanzania bado tuna safari ndefu.
Mkuu Kamongo, kuishi ni majaaliwa tuu ya Mwenyezi Mungu, hakuna anayejipangia kupata ajali, hivyo kama mtu amepata ajali, na ajali hiyo ikamuathiri, akawa mjinga, hilo sio jambo la kushabikia, kubeza au kumtukana mjinga kwasababu sio yeye ni hali tuu, na haya ni mapito tuu, hakuna ajuaye kesho yake!.Tangu upate ajali ya pikipiki Dodoma umekuwa mjinga
Jimbo la Vunjo limekombolewa!. Kwaheri Mbatia, Karibu Kimei.
Kwaheri NCCR Mageuzi, karibu CCM Baba Lao.
P
Kwani PhD ndo nini ama yeye ndiye wa kwanza kuipata hapa duniani.Una PhD, unavalisha matakataka mwili mzima kuitwa simba.siasa unafanya ubongo unageuka na kuwa Kama hujasoma
Jamani ebu tuwe wakweli, kule Vunjo kuna watu wa jamii ya Maasai kweli! Wenye ufahamu wa jambo hili waje watueleze. Kwa maeneo ya Bomang'ombe - Hai sawa, lakini Vunjo?Wazee wa kimila jamii ya kimasai (Laiguanani) katika jimbo la Vunjo wilayani Moshi wamemweka mgombea wa ubunge jimbo hilo Dkt.Charles Stephen Kimei na kumsimika kuwa ndiye 'Simba wa Vunjo' kwa kumpa baraka zote za ushindi wa nafasi ya ubunge katika uchaguzi utakaofanyika Oktoba 28, 2020.
Aidha Dkt. Kimei amewaahidi wazee hao kuwa endapo akishinda nafasi hiyo ya ubunge atatumia uzoefu wake wote pamoja na mtandao wake mpana wa maendeleo ya kiuchumi aliokuwa nao wakati akiwa mkurugenzi mtendaji wa benki ya CRDB na kuhakikisha wanavunjo na mkoa mzima wa Kilimanjaro wananufaika naye.
#Uchaguzi2020 #AmaniKwanza.
Mila gani hii...takatakaMila na desturi huheshimiwa hata kama umesoma sana
Nimeuliza the same question.nikajibiwa wapo Kule kahe ,Ila kahe Ni Jimbo la Moshi vijijini sio Jimbo la vunjo. Hao wamasai nadhani wamepelekwa huko vunjo Leo kwa fuso baadaye watarudishwa walikokutwa.Jamani ebu tuwe wakweli, kule Vunjo kuna watu wa jamii ya Maasai kweli! Wenye ufahamu wa jambo hili waje watueleze. Kwa maeneo ya Bomang'ombe - Hai sawa, lakini Vunjo?
Huyu i waziri mtarajiwa. Sijajua wizara gani ila ni waziri.Wazee wa kimila jamii ya kimasai (Laiguanani) katika jimbo la Vunjo wilayani Moshi wamemweka mgombea wa ubunge jimbo hilo Dkt.Charles Stephen Kimei na kumsimika kuwa ndiye 'Simba wa Vunjo' kwa kumpa baraka zote za ushindi wa nafasi ya ubunge katika uchaguzi utakaofanyika Oktoba 28, 2020.
Aidha Dkt. Kimei amewaahidi wazee hao kuwa endapo akishinda nafasi hiyo ya ubunge atatumia uzoefu wake wote pamoja na mtandao wake mpana wa maendeleo ya kiuchumi aliokuwa nao wakati akiwa mkurugenzi mtendaji wa benki ya CRDB na kuhakikisha wanavunjo na mkoa mzima wa Kilimanjaro wananufaika naye.
#Uchaguzi2020 #AmaniKwanza.
Unauliza PhD ni nini?....wewe utakuwa hujasoma...Kwani PhD ndo nini ama yeye ndiye wa kwanza kuipata hapa duniani.
Kwani wewe ukisoma unakuwa brainwashed kuwa usifuate mila za kwenu mana ni za kipumbavu,hazifai,majina yako ya asili hayafai,mavazi yenu na lugha yenu havina mana hata ngozi,kope na nywele zako sio nzuri hivyo viondoe weka hivi vya kisasa.
Na wewe kweli unakubali unaamini kuwa huo ndio usomi wako ama u PhD wako mkuu. Any away hongera kusoma na kudharau ya kwenu.
Au kwenda kufuga mbuziMbatia ajiandae kujiajiri
Mama Tanzania atakuwa nani
Sijawahi kusikia mtanzania ambaye anatafuta ajira,mfanyabiashara ,mkulima ,mtumishi wa umma,mfugaji au mmachinga akitamka Neno ..mama mtanzania.kwaniniMama Tanzania atakuwa nani
Nyie ndio wale mnaosoma kidogo tu unataka uabudiwe. Kwani PhD INA nini cha ajabu mbona ni levo tu kama levo zingine za elimu. Sio kisa MTU una PhD unadhani ni damu yako imekuwa nyeusi na sio nyekundu.Unauliza PhD ni nini?....wewe utakuwa hujasoma...
Uache kumuabudu Mwenyezi Mungu umuabudu PhD holder kweli.......?...Wewe huijui PhD ya kweli labda unazoziona ndio zile za "Chupi"Nyie ndio wale mnaosoma kidogo tu unataka uabudiwe. Kwani PhD INA nini cha ajabu mbona ni levo tu kama levo zingine za elimu. Sio kisa MTU una PhD unadhani ni damu yako imekuwa nyeusi na sio nyekundu.
MTU kwao na kila MTU ana mila zake.hata hao wazungu mnaowatukuza wana mila zao. Don't be brainwashed mkuu kisa na degree zako hata kama unazo buku. Mbona Mugabe pamoja na kuwa ndiye msomi mkubwa afrika aliyafanya ya kwao
Kweli madaraka ni upofuWazee wa kimila jamii ya kimasai (Laiguanani) katika jimbo la Vunjo wilayani Moshi wamemweka mgombea wa ubunge jimbo hilo Dkt.Charles Stephen Kimei na kumsimika kuwa ndiye 'Simba wa Vunjo' kwa kumpa baraka zote za ushindi wa nafasi ya ubunge katika uchaguzi utakaofanyika Oktoba 28, 2020.
Aidha Dkt. Kimei amewaahidi wazee hao kuwa endapo akishinda nafasi hiyo ya ubunge atatumia uzoefu wake wote pamoja na mtandao wake mpana wa maendeleo ya kiuchumi aliokuwa nao wakati akiwa mkurugenzi mtendaji wa benki ya CRDB na kuhakikisha wanavunjo na mkoa mzima wa Kilimanjaro wananufaika naye.
#Uchaguzi2020 #AmaniKwanza.
Haya kaka Sina usemi sana . umeshinda ila huwezi fanyiwa mila za kikwenuUache kumuabudu Mwenyezi Mungu umuabudu PhD holder kweli.......?...Wewe huijui PhD ya kweli labda unazoziona ndio zile za "Chupi"