Dkt. Charles Kimei: Benki Zinapaswa Kuwajali Wateja na Kuchangia Maendeleo ya Uchumi

Dkt. Charles Kimei: Benki Zinapaswa Kuwajali Wateja na Kuchangia Maendeleo ya Uchumi

ChoiceVariable

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2017
Posts
66,537
Reaction score
75,687
image-187-1024x798.png
Mbunge wa Vunjo, Dkt. Charles Kimei, ametoa ya moyoni kuhusu jinsi benki zinavyojiendesha kwa sasa. Dkt. Kimei ni mtaalamu katika sekta ya fedha na ameshikilia nafasi ya Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB kwa miaka 25.

Dkt. Kimei amesema kuwa kwa sasa benki zinapata faida kubwa sana, jambo ambalo anaona kuna tozo au gharama ambazo benki hazifichui kwa wazi kwa wateja.

Ametolea mfano kuwa benki zimejipatia faida ya Trilioni 1.6, lakini ukuaji wa uchumi hauakisi faida hiyo. Amesema ni wakati sasa kwa watendaji wa benki kuhakikisha kuwa wawekezaji na wateja wanapata manufaa kutokana na huduma za kibenki badala ya kuwanyonya.

Dkt. Kimei amesisitiza kuwa mwenendo huu wa kuwanyonya wateja hauonyeshi ishara nzuri kwa benki. Anahimiza benki zitilie maanani maslahi ya wateja na kuchangia katika maendeleo ya uchumi kwa njia endelevu.
 
Ameujua ukweli huo hivi sasa, ama hata pale alipokuwa kiongozi mkuu pale CRDB. Lengo la jumuiya ama kampuni yoyote ile yenye maslahi ya kutengeneza faida ni kupata faida kubwa na kujilimbijizia mali nyingi iwezekanavyo. Na huo ndiyo ukweli wenyewe!
 
Kasema ukweli kwamba banks zinapata margin kubwa ya faida ambayo Haina uhalisia na inasababishwa na unyonyaji wa Mabenki.
Hii ndiyo Tanzania ninayoifahamu. Ukiwa ndani ya mfumo wa kulamba asali, akili zote zinahamia tumboni. Ukitoka kwenye huo mfumo, akili ndiyo zinarejea tena kichwani.

Au anataka kutuambia alipokuwa Mkurugenzi mtendaji wa CRDB, hakuligundua kabisa hili tatizo! Ila baada ya kutoka, ndiyo amegundua huo unyonyaji!
 
image-187-1024x798.png
Mbunge wa Vunjo, Dkt. Charles Kimei, ametoa ya moyoni kuhusu jinsi benki zinavyojiendesha kwa sasa. Dkt. Kimei ni mtaalamu katika sekta ya fedha na ameshikilia nafasi ya Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB kwa miaka 25.

Dkt. Kimei amesema kuwa kwa sasa benki zinapata faida kubwa sana, jambo ambalo anaona kuna tozo au gharama ambazo benki hazifichui kwa wazi kwa wateja.

Ametolea mfano kuwa benki zimejipatia faida ya Trilioni 1.6, lakini ukuaji wa uchumi hauakisi faida hiyo. Amesema ni wakati sasa kwa watendaji wa benki kuhakikisha kuwa wawekezaji na wateja wanapata manufaa kutokana na huduma za kibenki badala ya kuwanyonya.

Dkt. Kimei amesisitiza kuwa mwenendo huu wa kuwanyonya wateja hauonyeshi ishara nzuri kwa benki. Anahimiza benki zitilie maanani maslahi ya wateja na kuchangia katika maendeleo ya uchumi kwa njia endelevu.
Alidhani atateuliwa waziri wa fedha. Kumbe mtandao umemtema
 
image-187-1024x798.png
Mbunge wa Vunjo, Dkt. Charles Kimei, ametoa ya moyoni kuhusu jinsi benki zinavyojiendesha kwa sasa. Dkt. Kimei ni mtaalamu katika sekta ya fedha na ameshikilia nafasi ya Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB kwa miaka 25.

Dkt. Kimei amesema kuwa kwa sasa benki zinapata faida kubwa sana, jambo ambalo anaona kuna tozo au gharama ambazo benki hazifichui kwa wazi kwa wateja.

Ametolea mfano kuwa benki zimejipatia faida ya Trilioni 1.6, lakini ukuaji wa uchumi hauakisi faida hiyo. Amesema ni wakati sasa kwa watendaji wa benki kuhakikisha kuwa wawekezaji na wateja wanapata manufaa kutokana na huduma za kibenki badala ya kuwanyonya.

Dkt. Kimei amesisitiza kuwa mwenendo huu wa kuwanyonya wateja hauonyeshi ishara nzuri kwa benki. Anahimiza benki zitilie maanani maslahi ya wateja na kuchangia katika maendeleo ya uchumi kwa njia endelevu.
chizi wahedi huyu
 
Mwambieni Kimei huko aliko aache unafiki. Yeye alikuà mkurugenzi wa crdb miaka nenda miaka Rudi lkn hakuna hata tawi moja la benki yake lililokua na choo kwa ajili ya wateja. Kama anajali wateja, alitegemea na foleni zile za crdb wateja wakanye wapi?
 
image-187-1024x798.png
Mbunge wa Vunjo, Dkt. Charles Kimei, ametoa ya moyoni kuhusu jinsi benki zinavyojiendesha kwa sasa. Dkt. Kimei ni mtaalamu katika sekta ya fedha na ameshikilia nafasi ya Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB kwa miaka 25.

Dkt. Kimei amesema kuwa kwa sasa benki zinapata faida kubwa sana, jambo ambalo anaona kuna tozo au gharama ambazo benki hazifichui kwa wazi kwa wateja.

Ametolea mfano kuwa benki zimejipatia faida ya Trilioni 1.6, lakini ukuaji wa uchumi hauakisi faida hiyo. Amesema ni wakati sasa kwa watendaji wa benki kuhakikisha kuwa wawekezaji na wateja wanapata manufaa kutokana na huduma za kibenki badala ya kuwanyonya.

Dkt. Kimei amesisitiza kuwa mwenendo huu wa kuwanyonya wateja hauonyeshi ishara nzuri kwa benki. Anahimiza benki zitilie maanani maslahi ya wateja na kuchangia katika maendeleo ya uchumi kwa njia endelevu.
Anatupia zigo wenzake, miaka 25 kwenye hiyo sekta, mbona hakufanya hayo?
 
image-187-1024x798.png
Mbunge wa Vunjo, Dkt. Charles Kimei, ametoa ya moyoni kuhusu jinsi benki zinavyojiendesha kwa sasa. Dkt. Kimei ni mtaalamu katika sekta ya fedha na ameshikilia nafasi ya Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB kwa miaka 25.

Dkt. Kimei amesema kuwa kwa sasa benki zinapata faida kubwa sana, jambo ambalo anaona kuna tozo au gharama ambazo benki hazifichui kwa wazi kwa wateja.

Ametolea mfano kuwa benki zimejipatia faida ya Trilioni 1.6, lakini ukuaji wa uchumi hauakisi faida hiyo. Amesema ni wakati sasa kwa watendaji wa benki kuhakikisha kuwa wawekezaji na wateja wanapata manufaa kutokana na huduma za kibenki badala ya kuwanyonya.

Dkt. Kimei amesisitiza kuwa mwenendo huu wa kuwanyonya wateja hauonyeshi ishara nzuri kwa benki. Anahimiza benki zitilie maanani maslahi ya wateja na kuchangia katika maendeleo ya uchumi kwa njia endelevu.
bank as a free entreprise ina jukumu moja tu,fiduciary duty to ensure profit to shareholders only!

mambo ya kuchangia sijui maendeleo na "kuwasaidia" wananchi and blah blah ni kazi ya serikali sio kazi ya benki!

hakuna mwenye ukoo na mtu

we give u financial services and u give us interests,hakuna kujipendekeza kwa yeyote!

kazi ya serikali please let govt do it,msisukumize private enterprises!
 
Back
Top Bottom