Bila bila
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 22,168
- 39,118
Dkt Doroth Gwajima ni Kipenzi cha watu wa mitandaoni maana anajibu kistaarabu na anachukua hatua Kwa Malalamiko anayoyapata mitandaoni.
Aje atufafanulie kama madai ya hawa Wananchi wa Kasulu ni kweli au uzushi? Kama ni kweli, sharti la kuwa na kazi ya chama liko kwenye Sera ya uchumi au sheria ya Mfuko wa TASAF?
"Fedha tunayopokea kupitia mfuko TASAF ni pesa kidogo lakini kinachotuuma zaidi ni kwamba ili tupokee mgao huo tunalazimishwa kuwa na KADI YA CCM. Nilipohoji kuwa ni mradi wa CCM au serikali au unatoka wapi niliondolewa kwenye mfumo wa kupokea gawio hilo."
Soma Pia: Wanufaika wa TASAF washauriwa kubuni vyanzo vya mapato ili wapate maendeleo na kutoka kwenye umaskini
Wananchi
📍Kasulu DC
Tafadhali Wananchi tunaomba jibu.
Aje atufafanulie kama madai ya hawa Wananchi wa Kasulu ni kweli au uzushi? Kama ni kweli, sharti la kuwa na kazi ya chama liko kwenye Sera ya uchumi au sheria ya Mfuko wa TASAF?
"Fedha tunayopokea kupitia mfuko TASAF ni pesa kidogo lakini kinachotuuma zaidi ni kwamba ili tupokee mgao huo tunalazimishwa kuwa na KADI YA CCM. Nilipohoji kuwa ni mradi wa CCM au serikali au unatoka wapi niliondolewa kwenye mfumo wa kupokea gawio hilo."
Soma Pia: Wanufaika wa TASAF washauriwa kubuni vyanzo vya mapato ili wapate maendeleo na kutoka kwenye umaskini
Wananchi
📍Kasulu DC
Tafadhali Wananchi tunaomba jibu.