The Watchman
JF-Expert Member
- Nov 7, 2023
- 896
- 1,427
Siku hizi baadhi ya wanawake wamekuwa wakiitumia mitandao ya kijamii kujitangazia biashara ya ukahaba wanayoifanya jambo linalohatarisha usalama wa maadili katika jamii yetu.
KUpitia mtandao wake Instagram Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi maalum Dkt. Dorothy Gwajima amekemea vikali wanawake wanaojidhalilisha kwa kufanya mambo yasiyofaa mitandaoni badala yake amewataka wanawake wote nchini kutumia fursa halali za maendeleo ya jamii ili kujipatia kipato halali.
=========
Sasa,
1. Wahusika wa video hii na tangazo hilo, mna leseni ya biashara hii mnayotangaza? Maana huwa hakuna leseni ya mambo haya yaliyo kinyume na maadili, hivyo hakuna uhalali wa Tangazo hili.
2. Nyie mabinti mnaojitangaza, ni sehemu ya wanawake ambao kila siku tunalia tunanyanyaswa tunahitaji kuheshimiwa kwa sheria kali kali: itawezekanaje wakati sisi ndiyo tuna promote mkao wa kukatiliwa?
3. Kama ni biashara halali, mbona inawezakana kupitia mikopo ya wanawake tunayotangaza kila siku. Shida ni hatujui au uvivu na kutaka hela za haraka haraka?
WITO; Kwanza msitishe hili jambo ambalo awali ni kinyume na Sheria zote, kisha nakuja huko mje mniambie shida nini hadi mnafikia hali hii kwenye nyakati hizi zenye fursa za kutosha kufanya biashara halali.......
Katika kuja kwangu huko, nawasiliana na MKUU WENU WA WILAYA kwanza.....
TUACHE KUJIDHALILISHA WENYEWE na kufungua milango ya kudhalilishwa na wengine. TUTUMIE FURSA HALALI ZA MAENDELEO YA JAMII.
"hii picha ni kutoka kipande cha video kinachosikika kikitangaza biashara niseme ya ukahaba huko kunakoitwa 'LIQUID BAR'. Video hii WENGI MNAIJUA maana IMEZUNGUKA SANA na nimetumiwa mara kadhaa"
KUpitia mtandao wake Instagram Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi maalum Dkt. Dorothy Gwajima amekemea vikali wanawake wanaojidhalilisha kwa kufanya mambo yasiyofaa mitandaoni badala yake amewataka wanawake wote nchini kutumia fursa halali za maendeleo ya jamii ili kujipatia kipato halali.
=========
Sasa,
1. Wahusika wa video hii na tangazo hilo, mna leseni ya biashara hii mnayotangaza? Maana huwa hakuna leseni ya mambo haya yaliyo kinyume na maadili, hivyo hakuna uhalali wa Tangazo hili.
2. Nyie mabinti mnaojitangaza, ni sehemu ya wanawake ambao kila siku tunalia tunanyanyaswa tunahitaji kuheshimiwa kwa sheria kali kali: itawezekanaje wakati sisi ndiyo tuna promote mkao wa kukatiliwa?
3. Kama ni biashara halali, mbona inawezakana kupitia mikopo ya wanawake tunayotangaza kila siku. Shida ni hatujui au uvivu na kutaka hela za haraka haraka?
WITO; Kwanza msitishe hili jambo ambalo awali ni kinyume na Sheria zote, kisha nakuja huko mje mniambie shida nini hadi mnafikia hali hii kwenye nyakati hizi zenye fursa za kutosha kufanya biashara halali.......
Katika kuja kwangu huko, nawasiliana na MKUU WENU WA WILAYA kwanza.....
TUACHE KUJIDHALILISHA WENYEWE na kufungua milango ya kudhalilishwa na wengine. TUTUMIE FURSA HALALI ZA MAENDELEO YA JAMII.
"hii picha ni kutoka kipande cha video kinachosikika kikitangaza biashara niseme ya ukahaba huko kunakoitwa 'LIQUID BAR'. Video hii WENGI MNAIJUA maana IMEZUNGUKA SANA na nimetumiwa mara kadhaa"