peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
Dada yangu Dorothy Gwajima, wizara ya afya Ili kushindwa na hili la ukeketaji mabinti wadogo nalo limekushinda?
Kweli viongozi wengi ndani ya Serikali ni wanawake waneshindwa kuzuia ukeketaji wa Hawa mabinti?
TARIME na ROYRA Hali ya ukeketaji Sio shwari.
Hapa Dar es Salaam mabinti wanakeketwa usiku na Mchana umepiga kimya.
Au tuseme ukeketaji umekubaliwa kisheria?
Nikutakie mchana mwema kwa kuendelea kuangalia hii Video hapa.
Kuna kila dalili wanawake wanaopewa dhama waneshindwa wajibu wao kwenye kuhudumia jamii wamehamia wakiandaa makongamano na semina Za kulipa a posho tu.
Kweli viongozi wengi ndani ya Serikali ni wanawake waneshindwa kuzuia ukeketaji wa Hawa mabinti?
TARIME na ROYRA Hali ya ukeketaji Sio shwari.
Hapa Dar es Salaam mabinti wanakeketwa usiku na Mchana umepiga kimya.
Au tuseme ukeketaji umekubaliwa kisheria?
Nikutakie mchana mwema kwa kuendelea kuangalia hii Video hapa.
Kuna kila dalili wanawake wanaopewa dhama waneshindwa wajibu wao kwenye kuhudumia jamii wamehamia wakiandaa makongamano na semina Za kulipa a posho tu.