Dkt. Doto 2024 anashiriki Kongamano la Nishati Safi ya Kupikia linalofanyika Kizimkazi-Zanzibar

Kadodo1

Member
Joined
Apr 18, 2024
Posts
25
Reaction score
24
DKT. BITEKO ASHIRIKI KONGAMANO LA NISHATI SAFI YA KUPIKIA ZANZIBAR

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe Dkt. Doto leo Agosti 23, 2024 anashiriki Kongamano la Nishati Safi ya Kupikia linalofanyika katika Hoteli ya Kwanza, Kizimkazi-Zanzibar.

Kabla ya kushiriki Kongamano hilo, Dkt.Biteko alitembelea Mabanda ya Maonesho ya Wadau wa Sekta ya Nishati Safi ya Kupikia ambao wanatoa elimu ya matumizi ya nishati hiyo na teknolojia zake.

Kaulimbiu "Upishi Salama kwa Afya ya Mpishi na kwa Maendeleo ya Jamii"
 
Sasa hivi ukitaja kizimkazi na Dotto lazima mtu asome kwa undani zaidi
 
TANZANIA INAZIDI KUENDELEA KWA KASI, SASA UNAWEZA KUAGIZA GESI YA KUPIKIA HAPOHAPO ULIPO BILA KUANDOKA MTAANI KWAKO:

Gesi zote zipo: Oryx Gas, Taifa Gas, Manjis Gas, O-Gas, Total Gas, Mihan Gas, na Puma Gas: zote zinapatikana hapa:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…