Mkalukungone mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 862
- 1,755
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko amewataka Watumishi wa Wizara yake kutumia muda mwingi kufanya kazi na sio kulinda vyeo vyao.
Waziri huyo amebainisha hayo wakati akizungumza kwenye kikao cha Menejimenti ya Wizara ya Nishati na Taasisi zake jijini Dodoma.
“Usichukue muda mwingi kulinda cheo, chukua muda mwingi kutoa matokeo katika kazi yako, cheo hakilindwi. Kama kilivyokuja bila wewe kukipambania kitaondoka siku moja utake au usitake na atakuja mtu mwingine kwa sababu na wewe ulikuta mtu mwingine,” amesema Dkt. Biteko.
PIA SOMA
- Dkt. Biteko azitaka Mamlaka za Ununuzi wa Umma Afrika Mashariki kuzingatia weledi, maadili na uwajibikaji
Waziri huyo amebainisha hayo wakati akizungumza kwenye kikao cha Menejimenti ya Wizara ya Nishati na Taasisi zake jijini Dodoma.
“Usichukue muda mwingi kulinda cheo, chukua muda mwingi kutoa matokeo katika kazi yako, cheo hakilindwi. Kama kilivyokuja bila wewe kukipambania kitaondoka siku moja utake au usitake na atakuja mtu mwingine kwa sababu na wewe ulikuta mtu mwingine,” amesema Dkt. Biteko.
PIA SOMA
- Dkt. Biteko azitaka Mamlaka za Ununuzi wa Umma Afrika Mashariki kuzingatia weledi, maadili na uwajibikaji