Wild Flower
JF-Expert Member
- Jul 20, 2023
- 378
- 766
Mkurugenzi Mteule wa Shirika la Afya Duniani Kanda ya Afrika (WHO-Afrika) na Mbunge wa Kigamboni, Dkt. Faustine Ndugulile kuzikwa leo, Novemba 3, 2024 katika Makaburi ya Mwongozo yaliyopo Kigamboni
Taarifa hii imetolewa na watoto wake Martha na Melvin Novemba 2, 2024 katika hafla ya kumuaga baba yao katika viwanja vya Karimjee, Dar es Salaam
Dkt. Faustine Ndugulile alifariki dunia wa kuamkia Novemba 27, 2024 nchini India alipokuwa akipata matibabu
Taarifa hii imetolewa na watoto wake Martha na Melvin Novemba 2, 2024 katika hafla ya kumuaga baba yao katika viwanja vya Karimjee, Dar es Salaam
Dkt. Faustine Ndugulile alifariki dunia wa kuamkia Novemba 27, 2024 nchini India alipokuwa akipata matibabu