Dkt. Florence Samizi ahoji wakulima kudhulumiwa

BWANKU M BWANKU

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2019
Posts
377
Reaction score
435
Dkt. Florence Samizi Mbunge wa jimbo la Muhambwe, aunguruma bungeni akichangia Wizara ya Kilimo na akitaka hatua za serikali kwa makampuni yanayodhurumu wakulima fedha za mazao yao.

======

Waziri Bashe ajibu kuwa serikali imeanza kuchukua hatua za kisheria kwa kukatwa fedha kwa baadhi ya kampuni, pia serikali imefuata hatua za kisheria na itamaliza matatizo hayo, pamoja na kuja na sheria ya kilimo itakayofanya wizi unaofanyika kwenye sekta ya kilimo kuwa kosa la jinai.

Your browser is not able to display this video.

Your browser is not able to display this video.
 
Bashe yeye anachojua ni kupiga hela tu kwa makampuni ya kununua mazao
 
Je, wataweza kuzuia biashara inayosemekana kusimamiwa na ile family?
 
Anazungumzia wakulima wa nini huko kibondo?
Watu wanapiga hela za muhogo hakuna aliyedhulumiwa kabisa,

Mwambie wameanza kuteka tena, usalama hautoshi, wanunuzi wa mihogo hawaji tena
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…