Dkt. Francis Michael karibu Songwe

Dkt. Francis Michael karibu Songwe

H
Dr karibu Sana Songwe. Fursa kibao ni kujipanga tu. Madini na Border mtu hukosi 5m Kwa siku, ni mwendo wa kulamba asali tu.

NB: Japo naona kama unaelekezewa njia ya kuondoka kiustaarabu.
uyu ana PhD ya mchongo naskia na mweupe sana na mpenda totozi
 
Mwenye clip ya Dr fransi Michael akiwa bunge la katiba na alivyoaibidha madr na maprof plz ilete hapa
 
Wangemuacha arudi zake UDSM tu maana kwa calibre yake atawezana na watendaji hawa wa mazoea Halmashauri zetu huko. Dr Francis ni kichwa na hana konakona kwenye kazi!

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom