Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
uyu ana PhD ya mchongo naskia na mweupe sana na mpenda totoziDr karibu Sana Songwe. Fursa kibao ni kujipanga tu. Madini na Border mtu hukosi 5m Kwa siku, ni mwendo wa kulamba asali tu.
NB: Japo naona kama unaelekezewa njia ya kuondoka kiustaarabu.
AiseeWangemuacha arudi zake UDSM tu maana kwa calibre yake atawezana na watendaji hawa wa mazoea Halmashauri zetu huko. Dr Francis ni kichwa na hana konakona kwenye kazi!
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app