OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Heshima kwako Mkuu Dkt. Gwajima D
Vyanzo vyanzo vya uhakika vimenipa taarifa za Mwalimu wa Shule ya Istiqaama huko Nzega kutuhumiwa kuingilia watoto kimwili.
Vyanzo vimesema taarifa hizo amepewa pia Waziri Mwenye Dhamana Dkt. Gwajima, lakini jambo hili linafanywa siri na mwalimu hajachukuliwa hatua zozote.
Nimesikia kwenye media jana ulikuwa Nzega na RC Chacha, lakini sijasikia ukitoa maelekezo na mwalimu kushikiliwa na vyombo vya usalama.
Tunajua uongozi umelifumbafumba hili, lakini hatujui kama na wewe utalifumba
Asante
Vyanzo vyanzo vya uhakika vimenipa taarifa za Mwalimu wa Shule ya Istiqaama huko Nzega kutuhumiwa kuingilia watoto kimwili.
Vyanzo vimesema taarifa hizo amepewa pia Waziri Mwenye Dhamana Dkt. Gwajima, lakini jambo hili linafanywa siri na mwalimu hajachukuliwa hatua zozote.
Nimesikia kwenye media jana ulikuwa Nzega na RC Chacha, lakini sijasikia ukitoa maelekezo na mwalimu kushikiliwa na vyombo vya usalama.
Tunajua uongozi umelifumbafumba hili, lakini hatujui kama na wewe utalifumba
Asante