Dkt. Gwajima, hili la mwalimu wa Istiqaama Nzega kuingilia watoto hujachukua hatua

Dkt. Gwajima, hili la mwalimu wa Istiqaama Nzega kuingilia watoto hujachukua hatua

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
Heshima kwako Mkuu Dkt. Gwajima D

Vyanzo vyanzo vya uhakika vimenipa taarifa za Mwalimu wa Shule ya Istiqaama huko Nzega kutuhumiwa kuingilia watoto kimwili.

Vyanzo vimesema taarifa hizo amepewa pia Waziri Mwenye Dhamana Dkt. Gwajima, lakini jambo hili linafanywa siri na mwalimu hajachukuliwa hatua zozote.
Nimesikia kwenye media jana ulikuwa Nzega na RC Chacha, lakini sijasikia ukitoa maelekezo na mwalimu kushikiliwa na vyombo vya usalama.

Tunajua uongozi umelifumbafumba hili, lakini hatujui kama na wewe utalifumba

Asante
 
Hizo ni tuhuma

Nafikiri muhimu uchunguzi ufanyike na inapobainika ni kweli, hatua za kisheria zifuatwe.

Anaweza kuhukumiwa Kwa ubakaji na Ulawiti kama ikibainika
 
Acha Kulazimisha Tuhuma kuwa Uhalisia
Sio kila Jambo Waziri Akurupuke tu
Kuna hatua zingine huchukuliwa Taratibu maana Nituhuma nzito
 
Heshima kwako Mkuu Dkt. Gwajima D
Vyanzo vyanzo vya uhakika vimenipa taarifa za Mwalimu wa Shule ya Istiqaama huko Nzega kutuhumiwa kuingilia watoto kimwili.

Vyanzo vimesema taarifa hizo amepewa pia Waziri Mwenye Dhamana Dkt. Gwajima, lakini jambo hili linafanywa siri na mwalimu hajachukuliwa hatua zozote.
Nimesikia kwenye media jana ulikuwa Nzega na RC Chacha, lakini sijasikia ukitoa maelekezo na mwalimu kushikiliwa na vyombo vya usalama.

Tunajua uongozi umelifumbafumba hili, lakini hatujui kama na wewe utalifumba

Asante
concern yako ni ya maana sana,

lakini inahitaji umakini mno katika kujiridhisha, lakini pia ili hatimae asidhulumiwe mtu yeyote wala asionewe huruma mtu yeyote kwenye kuchukua hatua,

kwahivyo,
ni muhimu sana kuwa wastahimilivu na wenye subra wakati jambo hilo linafanyiwa kazi. Asanti kwa taarifa asanti kwa msisitizo pia 🐒
 
Acha Kulazimisha Tuhuma kuwa Uhalisia
Sio kila Jambo Waziri Akurupuke tu
Kuna hatua zingine huchukuliwa Taratibu maana Nituhuma nzito
Huyo aliyefanya hayo ni ndugu yako au ni wewe au ni ndugu katika imani?.wacha vyombo husika vitimize wajibu wake kama sio kweli haki itatendeka kwa wote.
 
Back
Top Bottom