USSR
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 10,904
- 26,184
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio wachomqe moto? Si aachane na huyi mwanaume tu?Msilazimishe watu kuishi na watoto hawajawazaa jamani,kwa usalama wa watoto waishi na mama zao
Uko sahihi. Ni zamani, ilikuwa mkuranga , ilifanyiwa kazi. Vema mngewasitiri sura zao.Hii habari ni ya zamani. Mwaka jana nadhani. Nahisi pia kwamba Dkt. Gwajima D alishashughulikia.
Atakuja hapa kutupa mrejesho.
Mjumbe wa nyumba 10 ni kiongozi wa serikali?Kwa nini msiripoti hapa kwa barozi wa nyumba 10 au kuwapeleka wazazi Polisi?
Msimngoje Gwajima!