Dkt. Hamis Kigwangala na mzimu wa Tegeta Escrow

Dkt. Hamis Kigwangala na mzimu wa Tegeta Escrow

Free Country

Senior Member
Joined
Jun 9, 2024
Posts
116
Reaction score
83
IMG-20240719-WA0069.jpg


Huyu Dkt Hamis Kigwangala ni miongoni mwawatu muhimu sana katika Taifa hili.

Vijana hawa walisaidia kurejeshwa Serikalini zaidi ya TZS 300 pesa zilizochotwa toka Akaunti ya Tegeta Escrow hivyo tusimchukulie poa.

Dkt Hamis Kigwangala akiongozwa na shujaa David Kafulila walisaidia nchi yetu kuokoa kiasi hicho Cha Fedha toka mikono ya wapigaji tusipoteze historia yetu.

Naomba Dkt Hamis Kigwangala afikiriwe kwenye Baraza la Mawaziri lijalo Kwani ni kijana Mzalendo na mchapakazi hivyo tunaomba akumbukwe.​
 
View attachment 3046611

Huyu Dkt Hamis Kigwangala ni miongoni mwawatu muhimu sana katika Taifa hili.

Vijana hawa walisaidia kurejeshwa Serikalini zaidi ya TZS 300 pesa zilizochotwa toka Akaunti ya Tegeta Escrow hivyo tusimchukulie poa.

Dkt Hamis Kigwangala akiongozwa na shujaa David Kafulila walisaidia nchi yetu kuokoa kiasi hicho Cha Fedha toka mikono ya wapigaji tusipoteze historia yetu.

Naomba Dkt Hamis Kigwangala afikiriwe kwenye Baraza la Mawaziri lijalo Kwani ni kijana Mzalendo na mchapakazi hivyo tunaomba akumbukwe.​
Namwona Gen Kafulila kazini
 
Aisee.. hivi kumbe haya mambo ni serious..

Baada ya Kufulila mmekuja kwa Kigwa. Vijana Wa Tz mnalipwa shing ngapi kmnnazenu.
 
Alisema Kigwangala " sijawahi kuona professor muongo kama professor muhongo hapa Duniani", nilicheka mno! kwa kauli yake hiyo.
 
Back
Top Bottom