Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dkt.Hussein Ali Mwinyi afungua Skuli ya Ghorofa ya Sekondari Pujini iliyojengwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kwa fedha za Uviko-19 Kupitia Shirika la fedha Duniani (IMF).
Leo Jumatatu,
📆02 Januari 2023
📍Skuli ya Sekondari Pujini,Wilaya ya Chakechake,Mkoa wa Kusini,Pemba.
Leo Jumatatu,
📆02 Januari 2023
📍Skuli ya Sekondari Pujini,Wilaya ya Chakechake,Mkoa wa Kusini,Pemba.