[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Shule ya ghorofa .
Daa
Duu umemwaga udenda au?dah iyo cruiser mpaka nimemwaga
Duu umemwaga udenda au?dah iyo cruiser mpaka nimemwaga
We jamaa [emoji56][emoji56][emoji56]dah iyo cruiser mpaka nimemwaga
Na hiyo ni kanuni mojawapo ya kumilikishwa shule.. Kuna sheria kuwa mjini walau ekari 3 kijijini ekari 5.Shule haina viwanja vya michezo! Au sijaona vizuri!? Inabidi takwa moja wapo la mamlaka kutoa certificate ya shule iwe ni uwepo wa eneo la watoto kucheza...
Inae. Enhe, unataka kusemaje kiongozi?!!!!Hivi Zanzibar haina waziri wa elimu ?