Upuuzi mtaacha lini? angalau ungesema ww unafaaaHuyu Mheshimiwa ambaye ni Waziri wa Ulinzi wa muda mrefu na Mtoto wa Raisi mstaafu Mzee Mwinyi nafikiria anaweza kuwa kiongozi mzuri sana kwa kiti cha Uraisi kupitia CCM.
Ni mtu mtulivu, hana kashfa ndogo wala kubwa, sio mtu wa kuruka kuruka kama kichaa, ana uzoefu wa muda mrefu, yuko composed.
Kama uteuzi ndani ya CCM safari hii utalenga kutoa nafasi kwa wenye asili za Zanzibar ama hata vinginevyo, nafikiri Mhe Hussein Alli Hassan Mwinyi atakua chaguo bora.
Mengine tuziachie mamlaka.
Well saidTatizo sio kutulia atafanya maamuzi magumu?atapambana na rushwa,?ataweza kuwachukulia hatua kali wale wote watakuwa implicated na ufisadi especially from his circle bila kuonea huruma ( ushikaji)?kama kigezo chako ni utulivu basi wako wengi sana ndani ya CCM ambao ni watulivu na hawana kashifa
Utumwa bado unahangaisha akili zetu. Yaani kuwa mtoto wa rais mstaafu nayo ni sifa ya kuwa rais? Umuonavyo ktk maisha yake kwenye hizo nafasi, nini cha maana lishafanya kuonyesha kwamba ni kiongozi mzuri? Iko siku mutatuletea zezeta kwa sifa ya utulivu na upole.Huyu Mheshimiwa ambaye ni Waziri wa Ulinzi wa muda mrefu na Mtoto wa Raisi mstaafu Mzee Mwinyi nafikiria anaweza kuwa kiongozi mzuri sana kwa kiti cha Uraisi kupitia CCM.
Ni mtu mtulivu, hana kashfa ndogo wala kubwa, sio mtu wa kuruka kuruka kama kichaa, ana uzoefu wa muda mrefu, yuko composed.
Kama uteuzi ndani ya CCM safari hii utalenga kutoa nafasi kwa wenye asili za Zanzibar ama hata vinginevyo, nafikiri Mhe Hussein Alli Hassan Mwinyi atakua chaguo bora.
Mengine tuziachie mamlaka.
Marais wa kupelekeshwa hawatakiwi nchi hii kwa sasa,ni bandika bandua ya watemi mithiri ya Magufuli ,kitakapoeleweka ndio atakuja mpolempole,nchi inanyooshwa kwanzaHuyu Mheshimiwa ambaye ni Waziri wa Ulinzi wa muda mrefu na Mtoto wa Raisi mstaafu Mzee Mwinyi nafikiria anaweza kuwa kiongozi mzuri sana kwa kiti cha Uraisi kupitia CCM.
Ni mtu mtulivu, hana kashfa ndogo wala kubwa, sio mtu wa kuruka kuruka kama kichaa, ana uzoefu wa muda mrefu, yuko composed.
Kama uteuzi ndani ya CCM safari hii utalenga kutoa nafasi kwa wenye asili za Zanzibar ama hata vinginevyo, nafikiri Mhe Hussein Alli Hassan Mwinyi atakua chaguo bora.
Mengine tuziachie mamlaka.