Haya ndiyo ya Husein Mwinyi aliyosema leo katika Ilani yake.
Umoja.
-Kuondoa Matabaka.
-Upemba na Uuunguja.
-Ukusini na Ukaskazini.
-Udini.
-Na maeneo mengine.
Uchumi
-Zanzibar ya viwanda.
-Utalii wa kisasa.
-Bandari ya kisasa.
-Uvuvi wa Bahari kuu wa kisasa.
Jiandaaeni kwa ajira makhsusi kwa wazanzibari tuuu kwanza kabla ya wengine.
Hivyo ni vipa umbele vyake Mh.Mwinyi Makamo wa Kwanza wa Raisi mtarajiwa wa CCM Zanzibar.
Kwa muktadha huu sijaona kwa nini waliopita walishindwa kuyafanya haya?
Jibu ni Rahisi tuu,
Mfumo wa Muungano ndio shida.
Dr.Shein litaka kuchimba Mafuta, Kujenga Bandari Kubwa, na kufanya Uvuvi wa Bahari kuu yote Bara wamemkatalia na Kumblock.
Hivi yeye atawezeje?
Ili aweze kuyafanya hayo ni lazima Akubali Kuwa Mkuu wa Mkoa wa kanda ya Zanzibar na hayo yawe chini ya Jamuhuri ya Muungano.
Kwa hili Hatudanganyi.
Tunamtaka Simba Wa Nyika alete mabadiliko ya Mfumo wa Muungano.