Analogia Malenga JF-Expert Member Joined Feb 24, 2012 Posts 5,108 Reaction score 10,191 Sep 2, 2020 #1 Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) imemteua Dkt. Hussein Mwinyi kuwa mgombea wa Urais katika Uchaguzi Mkuu 2020 Hussein Mwinyi anagombea kwa tiketi ya CCM na amesema watafanya kampeni za kisayansi na ustaarabu
Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) imemteua Dkt. Hussein Mwinyi kuwa mgombea wa Urais katika Uchaguzi Mkuu 2020 Hussein Mwinyi anagombea kwa tiketi ya CCM na amesema watafanya kampeni za kisayansi na ustaarabu
Benjamini Netanyahu JF-Expert Member Joined Aug 7, 2014 Posts 95,871 Reaction score 116,627 Sep 2, 2020 #2 Tuone na Malma kama atateuliwa au watakagua fomu kama za Lisu masaa 12
and 300 JF-Expert Member Joined Jun 27, 2012 Posts 26,398 Reaction score 36,406 Sep 3, 2020 #3 Ushindi
J jabulani JF-Expert Member Joined Aug 1, 2015 Posts 5,547 Reaction score 11,704 Sep 3, 2020 #4 Wazanzibari msipoteze utaifa wenu, Mwinyi ni kama kateuliwa kuwa mkuu wa mkoa wa Zanzibar. lindeni utaifa wa Zanzibar mchagueni Maalim Seif.
Wazanzibari msipoteze utaifa wenu, Mwinyi ni kama kateuliwa kuwa mkuu wa mkoa wa Zanzibar. lindeni utaifa wa Zanzibar mchagueni Maalim Seif.
Msamala Senior Member Joined Oct 27, 2016 Posts 158 Reaction score 118 Sep 3, 2020 #5 Analogia Malenga said: Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) imemteua Dkt. Hussein Mwinyi kuwa mgombea wa Urais katika Uchaguzi Mkuu 2020 Hussein Mwinyi anagombea kwa tiketi ya CCM na amesema watafanya kampeni za kisayansi na ustaarabu View attachment 1556281 Click to expand... Hawezi kushinda dalili si nzuri kwa kweli.
Analogia Malenga said: Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) imemteua Dkt. Hussein Mwinyi kuwa mgombea wa Urais katika Uchaguzi Mkuu 2020 Hussein Mwinyi anagombea kwa tiketi ya CCM na amesema watafanya kampeni za kisayansi na ustaarabu View attachment 1556281 Click to expand... Hawezi kushinda dalili si nzuri kwa kweli.
ikipendaroho JF-Expert Member Joined Jul 26, 2015 Posts 3,903 Reaction score 3,856 Sep 3, 2020 #6 Msamala said: Hawezi kushinda dalili si nzuri kwaakweli Click to expand... Idadi ya comments humu zatosha kuonesha kuwa dalili zio nzuri!
Msamala said: Hawezi kushinda dalili si nzuri kwaakweli Click to expand... Idadi ya comments humu zatosha kuonesha kuwa dalili zio nzuri!
Da Gladiator JF-Expert Member Joined Aug 3, 2020 Posts 1,641 Reaction score 2,646 Sep 4, 2020 #7 ikipendaroho said: Idadi ya comments humu zatosha kuonesha kuwa dalili zio nzuri! Click to expand... Habari za mujini ni Dk 45. ITV
ikipendaroho said: Idadi ya comments humu zatosha kuonesha kuwa dalili zio nzuri! Click to expand... Habari za mujini ni Dk 45. ITV