Uchaguzi 2020 Dkt. John Pombe Joseph Magufuli, the heavyweight heaven sent President for Tanzania

Nimesoma sentence mbili tu nikajua ni wale wale...... Katika pita pita zangu mtandao nikaona baadhi ya matamshi yanayotolewa na unayemsujudu kama huna mama mweusi au ndugu weusi huwezi kuelewa huu mgawanyo


Praise Team endeleeni kuimba mapambio
 
Nimesoma sentence mbili tu nikajua ni wale wale...... Katika pita pita zangu mtandao nikaona baadhi ya matamshi yanayotolewa na unayemsujudu kama huna mama mweusi au ndugu weusi huwezi kuelewa huu mgawanyo


Praise Team endeleeni kuimba mapambio
Sisi watanzania buana na UTANI NI ASILI YETU toka enzi na enzi wacha kulazimisha kupandikiza chuki
 
Sisi watanzania buana na UTANI NI ASILI YETU toka enzi na enzi wacha kulazimisha kupandikiza chuki
Utani gani huo? Kama ingekuwa ni utani kilichotakiwa kufanyika ni kuwaomba radhi waliokwazika......

Ni mbaya sana, hizi sentence tata zinaleta ukakasi
 
Utani gani huo? Kama ingekuwa ni utani kilichotakiwa kufanyika ni kuwaomba radhi waliokwazika......

Ni mbaya sana, hizi sentence tata zinaleta ukakasi

Labda wewe umezaliwa 2010 ndio maana hujui utani nenda kamauulize mwalimu wako wa sanaa kuhusu utani na majigambo akishakujibu rudi ufundishe wenzio
 
Labda wewe umezaliwa 2010 ndio maana hujui utani nenda kamauulize mwalimu wako wa sanaa kuhusu utani na majigambo akishakujibu rudi ufundishe wenzio
Nimezaliwa 2018...... Continent of Darkness
 
Amekuwa aibu kubwa kwa watanzania.
 

Yaani wewe ni hovyo sana!
 
Haya kamtafute mwalimu wa sana akueleze kuhusu asili yetu watanzania, akupe ukweli kuhusu utani na majigambo

Wewe endelea kumwona ni aibu kubwa kwako. Kwa dunia na kwetu wengine ni shujaa wa Karne
View attachment 1595591
Shujaa kwa upotevu wa watu, mauaji, udhalilishaji wa wanawake au ubaguzi na upendeleo wa kikabila?!
 
Shujaa kwa upotevu wa watu, mauaji, udhalilishaji wa wanawake au ubaguzi na upendeleo wa kikabila?!
Unaweza sema lolote kwa mtu anayemchukia ila huwezi aminisha kila mtu huo udhaifu

Sasa ongeza mengine halafu tuma kwa Amstadam
 
Tanzanians like their president and all signs show that he will emerge a winner by far in this forthcoming general election.
Are you serious? After all the abductions, torture, killings, bringing unbailable charges upon innocent civilians and political opponents?!

Moreover, there is no freedom of speech anymore
 
Uliyemwandikia hayo hata hiyo Lugha haijui.

country bumpkin!!!!!

Utopolo.

shikirieni hapo hapo kwenye lugha.

mkija kushtuka kumekucha watu wanakwenda makazini.

tutaandaa mswada wa kulipwa pesa wanaomaster kiingereza vizuri,usikate tamaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…