Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
Waziri wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani amewataka Wananchi watakaopitiwa na ujenzi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP) kujitokeza na kuzitumia fursa mbalimbali ambazo zitapatikana wakati wa ujenzi wa bomba hilo
Dkt. Kalemani amesema watanzania zaidi ya 15,000 wataajiriwa katika kipindi cha ujenzi wa bomba hilo
Waziri amesema hayo akiwa Wilayani Misenyi, Kagera
Dkt. Kalemani amesema watanzania zaidi ya 15,000 wataajiriwa katika kipindi cha ujenzi wa bomba hilo
Waziri amesema hayo akiwa Wilayani Misenyi, Kagera